SWALI: Je ni Lazima Nibadili Jina baada ya kuokoka, na kama ni hivyo ni mazingira gani yaliyo sahihi kufanya hivyo? JIBU: Nakusalimu katika jina la Bwana Yesu Kristo. Unapookoka, ni vema kufahamu Kristo akishakukomboa amekombolewa kwelikweli, Huwezi kukosa mbingu kwasababu ya jina lako, hata kama linamaana mbaya, kwasababu wapo watu waliokuwa na majina mabaya, mmojawapo Read More
The post Je ni lazima Nibadili Jina Baada ya kuokoka? appeared first on WINGU LA MASHAHIDI wa kristo.