Mara nyingi tunapojikuta tumelala tunaposoma biblia, huwa moja kwa moja tunamsingizia shetani. Lakini ukweli ni kwamba shetani anahusika kwa sehemu ndogo, sehemu kubwa ni hali zetu za kimwili ndio zinakuwa adui katika jambo hili. Mazingira ambayo ni mashambulizi kutoka kwa adui mfano wake yanakuwa ni kama haya; pengine mtu akianza tu kusoma biblia anasikia maumivu Read More
Related Articles
The post NIFANYE NINI ILI Nisilale Ninaposoma Biblia. appeared first on WINGU LA MASHAHIDI wa kristo.