Ayubu 23:10 “Lakini Yeye Aijua Njia niendeayo; Akisha kunijaribu, nitatoka kama dhahabu” Kila mmoja kaandaliwa mapito yake na Mungu, ijapokuwa hatma yetu ni moja lakini mapito kamwe hayawezi kufanana. Na anafanya hivyo kwasababu ya utofauti wa wito na huduma, aliopewa kila mmoja katika kusudi lake aliloitiwa duniani. Hivyo unapookoka anachokifanya Mungu ni kuitazama njia yako, Read More
The post Nini maana ya huu mstari Ayubu 23:10 ‘Lakini yeye aijua njia niendeayo; Akisha kunijaribu, nitatoka kama dhahabu’? first appeared on WINGU LA MASHAHIDI wa kristo.
The post Nini maana ya huu mstari Ayubu 23:10 ‘Lakini yeye aijua njia niendeayo; Akisha kunijaribu, nitatoka kama dhahabu’? appeared first on WINGU LA MASHAHIDI wa kristo.