Shalom, nakusalimu Katika jina la Yesu Kristo mwokozi wetu. Karibu tujifunze maneno ya uzima maadamu siku ile inakaribia. Katika siku hizi za mwisho ni lazima uwe makini sana na mahali ulipo, kwasababu zama zimebadilika, si kila jambo la kuliamini, vilevile si kila jambo la kutoliamini. Unamuhitaji Roho Mtakatifu sana kukusaidia kuchagua kilicho sahihi. Bwana anatufananisha Read More
The post JE! Upo Katika Maji YA UTULIVU? appeared first on WINGU LA MASHAHIDI wa kristo.