Jibu: Turejee. Walawi 11:29 “Tena katika vitu vile vitambaavyo, vitambaavyo juu ya nchi, hivi ni najisi kwenu; kicheche, na panya, na mjombakaka, kwa aina zake, 30 na GURUGURU na kenge, na mjusi na GOROMOE, na lumbwi. 31 Wanyama hao ndio walio najisi kwenu katika hao watambaao; awaye yote atakayewagusa, wakiisha kufa, atakuwa ni najisi hata Read More
The post Guruguru na Goromoe ni wanyama gani? (Walawi 11:30) appeared first on WINGU LA MASHAHIDI wa kristo.