SWALI: Nini Maana ya mstari huu Mithali 27:6 “Jeraha utiwazo na rafiki ni amini; Bali kubusu kwa adui ni kwingi sana” JIBU: Rafiki anayezungumziwa hapo ni rafiki wa kweli ambaye humwazia mema mwenzake, Hivyo inapotokea umeumizwa kwa maneno ya Ukweli aliyokuambia, ni bora kuliko kusifiwa na watu ambao nyuma yake ni maadui zako. Ukweli unaomiza, Read More
The post Nini maana ya Mithali 27:6 “Jeraha utiwazo na rafiki ni amini; appeared first on WINGU LA MASHAHIDI wa kristo.