Jibu: Kabla ya ufafanuzi tuisome mistari hiyo.. 2Wafalme 24:8 “Yekonia alikuwa na umri wa miaka kumi na Minane Alipoanza Kutawala; akatawala MIEZI MITATU katika Yerusalemu; na jina la mama yake aliitwa Nehushta binti Elnathani wa Yerusalemu”. Tusome tena, 2Nyakati 36:9 “Yekonia alikuwa na umri wa miaka kumi na minane alipoanza kutawala; akatawala katika Yerusalemu MIEZI Read More
Related Articles
The post Je! habari ya muda aliotawala Mfalme Yekonia inajichanganya? (2Wafalme 24:8 na 2Nyakati 36:9). appeared first on WINGU LA MASHAHIDI wa kristo.