Masomo maalumu kwa watumishi wa Mungu, Je kibiblia ni jukumu la wachungaji peke yao kulichunga kundi? Na mitume na manabii hiyo si kazi yao??….. kama ndio basi huenda Bwana Yesu alikosea alipomwambia Petro ambaye ni Mtume, alichunga kundi lake.. Tusome, Kumbe kazi ya kuchunga, na kulisha kondoo si ya mchungaji peke yake, bali hata ya Read More
The post Lisha Kondoo Wangu, LISHA WANA-KONDOO WANGU. appeared first on WINGU LA MASHAHIDI wa kristo.