Jibu: Kulikuwa na tukio zaidi ya moja la Bwana Yesu kupakwa mafuta…Tukio la kwanza ni hilo tunalolisoma katika injili tatu, (Mathayo 26:6-13 na Marko 14:3-8 na Yohana 12:1-3), ambapo biblia inaonyesha moja kwa moja kuwa ni Mariamu Ndugu Yake Lazaro, ndiye aliyempaka Bwana Marhamu siku sita kabla ya pasaka. Tusome, Yohana 12:1 “Basi, siku sita Read More
The post Je! kuna mwanamke mwingine aliyempaka Bwana marhamu (manukato) zaidi ya Mariamu Ndugu Yake Lazaro? appeared first on WINGU LA MASHAHIDI wa kristo.