Get Even More Visitors To Your Blog, Upgrade To A Business Listing >>

Je! kuna mwanamke mwingine aliyempaka Bwana marhamu (manukato) zaidi ya Mariamu ndugu yake Lazaro?

Jibu: Kulikuwa na tukio zaidi ya moja la Bwana Yesu kupakwa mafuta…Tukio la kwanza ni hilo tunalolisoma katika injili tatu,  (Mathayo 26:6-13 na Marko 14:3-8  na Yohana 12:1-3), ambapo  biblia inaonyesha moja kwa moja kuwa ni Mariamu Ndugu Yake Lazaro, ndiye aliyempaka Bwana Marhamu siku sita kabla ya pasaka. Tusome, Yohana 12:1 “Basi, siku sita Read More

The post Je! kuna mwanamke mwingine aliyempaka Bwana marhamu (manukato) zaidi ya Mariamu Ndugu Yake Lazaro? appeared first on WINGU LA MASHAHIDI wa kristo.



This post first appeared on Cloud Of Witnesses, please read the originial post: here

Share the post

Je! kuna mwanamke mwingine aliyempaka Bwana marhamu (manukato) zaidi ya Mariamu ndugu yake Lazaro?

×

Subscribe to Cloud Of Witnesses

Get updates delivered right to your inbox!

Thank you for your subscription

×