(Masomo maalumu kwa Wakristo, Je! Unajijua nafasi yako?.. je unajijua kuwa wewe ni Manukato yanayokubalika na pia yasiyokubalika kwa upande mwingine?). Manukato ni neno lingine la “Marashi”.. Na kazi ya manukato/Marashi ni kukifanya kitu kivutie, hakuna mtu anayejipaka marashi ili mtu amkimbie. Lakini changamoto ni kwamba haijalishi marashi yatakuwa ni mazuri kiasi gani, ni lazima Read More
The post Sisi TU MANUKATO YA KRISTO. appeared first on WINGU LA MASHAHIDI wa kristo.