Je Bwana Yesu Alimtokea Yuda Baada ya kufufuka kwake?.. maana tunasoma katika 1Wakorintho 15:5 kuwa aliwatokea wale Thenashara ambao mmojawao alikuwa ni Yuda. Jibu: Kwanza ni muhimu kujua maana ya Neno “Thenashara”.. Tafsiri ya Thenashara ni “kumi na mbili”. Maana yake popote biblia inapotaja neno hilo, iliwalenga wale Mitume 12 wa Bwana Yesu. Na katika Read More
The post JE BWANA Yesu Alimtokea Yuda BAADA YA KUFUFUKA KWAKE?. appeared first on WINGU LA MASHAHIDI wa kristo.