SWALI: Mimbari ni nini? Je tofauti kati ya Mimbari na madhabahu ni ipi? Mimbari ni eneo lililoinuka ambalo limetengwa rasmi katika kanisa kwa ajili ya Neno la Mungu kuhubiriwa, au taarifa za kikanisa kuwasilishwa, au huduma nyingine za kiibada kutendeka kama vile uimbaji wa kwaya. Lakini Madhabahu ni eneo la kanisa ambalo watu huenda kuomba, Read More
The post Mimbari ni nini? Je tofauti kati ya Mimbari na madhabahu ni ipi? appeared first on WINGU LA MASHAHIDI wa kristo.