Get Even More Visitors To Your Blog, Upgrade To A Business Listing >>

Mimbari ni nini? Je tofauti kati ya Mimbari na madhabahu ni ipi?

SWALI: Mimbari ni nini? Je tofauti kati ya Mimbari na madhabahu ni ipi? Mimbari ni eneo lililoinuka ambalo limetengwa rasmi katika kanisa kwa ajili ya Neno la Mungu kuhubiriwa, au taarifa za kikanisa kuwasilishwa, au huduma nyingine za kiibada kutendeka kama vile uimbaji wa kwaya. Lakini Madhabahu ni eneo la kanisa ambalo watu huenda kuomba, Read More

The post Mimbari ni nini? Je tofauti kati ya Mimbari na madhabahu ni ipi? appeared first on WINGU LA MASHAHIDI wa kristo.



This post first appeared on Cloud Of Witnesses, please read the originial post: here

Share the post

Mimbari ni nini? Je tofauti kati ya Mimbari na madhabahu ni ipi?

×

Subscribe to Cloud Of Witnesses

Get updates delivered right to your inbox!

Thank you for your subscription

×