Mithali 25:14 “Kama mawingu na upepo pasipo mvua; Ndivyo alivyo yeye ajisifiaye Karama Kwa uongo”. Njia nyingine shetani anayoitumia kuwaangusha watu na kudanganya watu, ni kupitia “karama za uongo”.. Hii inatokea pale ambapo mtu anajipandikiza karama ambayo hana, na anajitangaza kuwa anayo kwa wote, jambo ambalo lina madhara makubwa sana kiroho. Zifuatazo ni ishara za Read More
The post Usijisifie Karama Kwa UONGO. appeared first on WINGU LA MASHAHIDI wa kristo.