Swali: Katika Wagalatia 3:13 maandiko yanasema Bwana Yesu Alisulubiwa Juu ya mti, lakini tukirejea tena Yohana 19:19, tunaona biblia inasema Bwana alisulubishwa juu ya msalaba.. je maumbile ya huo msalaba au huo mti yalikuwaje?.. je ulikuwa ni mti uliosimama kama nguzo au miti miwili iliyokatana kama alama ya kujumlisha? Jibu: Tuirejee mistari hiyo.. Wagalatia 3:13 Read More
The post Je! Bwana Yesu Alisulubiwa juu ya msalaba au juu ya mti uliokuwa wima? appeared first on WINGU LA MASHAHIDI WA KRISTO.