Get Even More Visitors To Your Blog, Upgrade To A Business Listing >>

Nini maana ya kupwita-pwita? (Zaburi 38:10)

Jibu: Turejee, Zaburi 38:10 “Moyo wangu unapwita-pwita, Nguvu zangu zimeniacha; Nuru ya macho yangu nayo imeniondoka”. Kupwita-pwita Maana yake, ni “kudunda kwa haraka”, hivyo hapo biblia iliposema “kuwa moyo wangu unapwita pwita”, maana yake ni kuwa “moyo wa mwandishi unaenda mbio” kutokana na mateso aliyokuwa anayapitia. Mtu anayepitia katika hali ya mateso, kutoka kwa watu Read More

The post Nini Maana ya kupwita-pwita? (Zaburi 38:10) appeared first on WINGU LA MASHAHIDI WA KRISTO.



This post first appeared on Cloud Of Witnesses, please read the originial post: here

Share the post

Nini maana ya kupwita-pwita? (Zaburi 38:10)

×

Subscribe to Cloud Of Witnesses

Get updates delivered right to your inbox!

Thank you for your subscription

×