Jibu: Turejee, Zaburi 38:10 “Moyo wangu unapwita-pwita, Nguvu zangu zimeniacha; Nuru ya macho yangu nayo imeniondoka”. Kupwita-pwita Maana yake, ni “kudunda kwa haraka”, hivyo hapo biblia iliposema “kuwa moyo wangu unapwita pwita”, maana yake ni kuwa “moyo wa mwandishi unaenda mbio” kutokana na mateso aliyokuwa anayapitia. Mtu anayepitia katika hali ya mateso, kutoka kwa watu Read More
The post Nini Maana ya kupwita-pwita? (Zaburi 38:10) appeared first on WINGU LA MASHAHIDI WA KRISTO.