Jibu: Turejee, Kumbukumbu 24:6 “Mtu awaye yote asitwae jiwe la kusagia, la juu wala la chini, kuwa rehani; kwani hivi ni kutwaa maisha ya mtu kuwa rehani”. Jiwe la kusagia lilikuwa ni jiwe lililotumika katika kusagia nafaka enzi za zamani, na hata sasa katika baadhi ya jamii.. Lilikuwa ni jiwe kubwa ambapo nafaka kama ngano Read More
The post Kwanini jiwe la kusagia Mungu Alikataza Lisiwekwe rehani? (Kumbukumbu 24:6). appeared first on WINGU LA MASHAHIDI WA KRISTO.