SWALI: Naomba kufahamu maana ya huu mstari..Kwanini biblia imtaje Mungu kama mtu, angali maandiko yanasema yeye sio mtu. Kutoka 15:3 JIBU: Neno hilo halimaanishi kuwa Mungu ni mtu, Bali biblia hutumia mifano halisi ya kibinadamu kuwasilisha picha Fulani Rohoni.. Kwamfano ukisoma andiko lingine linalopatikana katika Mithali 30:26, utaona mnyama anayeitwa Wibari anatajwa kama mtu.. Mithali Read More
Related Articles
The post BWANA ni mtu wa vita, Bwana Ndilo Jina lake.(Kutoka 15:3) appeared first on WINGU LA MASHAHIDI WA KRISTO.