Nakusalimu katika jina kuu la Bwana wetu Yesu Kristo. Naamini kuwa ulishawahi kusoma katika maandiko kuwa kuna mahali Yesu alilala. Lakini ulishawahi kujiuliza ni kwanini habari ile iandikwe kulikuwa na umuhimu gani? Kumbuka kila tukio lililoandikwa katika biblia limebeba somo kwetu sisi watakatifu. Jambo pekee lililomfanya Yesu alale usingizi mzito namna ile, sio kuchoka kama Read More
The post Yesu Katika Usingizi WAKE. appeared first on WINGU LA MASHAHIDI WA KRISTO.