Nakusalimu katika jina la mwokozi wetu Yesu Kristo, utukufu na heshima vina yeye milele na milele amina. Zipo tabia kadhaa za Yesu ambazo watu wengi huwa hatuzitambui. Kwamfano utakumbuka wakati ule, anakwenda Yerusalemu kwenye sikukuu, biblia inasema alipita mahali penye birika Fulani iliyojulikana kama Bethzatha, Birika hii kuna kipindi ilitoa uponyaji, hivyo, watu wengi maelfu Read More
The post UNAFAHAMU KUWA Yesu Huwa Anajitenga NA BAADHI YA WATU? appeared first on WINGU LA MASHAHIDI WA KRISTO.