SWALI: Nini maana ya huu mstari? JIBU: Maandiko yanasema Upepo wa Kusi Huleta Mvua, hapo hasemi ‘upepo’ huleta mvua hapana bali anasema ‘Upepo wa kusi’, Maana yake ni kuwa kila aina ya upepo hubeba tabia yake, kwa mfano upepo wa Kaskazi, hauleti mvua, bali unaleta joto. Vivyo hivyo na pepo nyingine zote, hubeba tabia zao. Read More
Related Articles
The post UPEPO WA Kusi Huleta MVUA; appeared first on WINGU LA MASHAHIDI WA KRISTO.