Jibu: Tusome, Waamuzi 1:19 “Bwana alikuwa pamoja na Yuda; naye akawafukuza watu waliokaa katika nchi ya milimani; ASIWEZE KUWAFUKUZA HAO WALIOKAA KATIKA HILO BONDE, kwa kuwa wao walikuwa na magari ya chuma”. Ni kweli Bwana hakuweza kuwafukuza hao watu waliokaa mabondeni… Lakini si kwamba alikuwa hawa uwezo wa kuwafukuza, bali kulikuwa na kusudi kwanini hakuweza Read More
The post Je! kuna mambo ambayo Mungu Hawezi Kuyafanya Kulingana na Waamuzi 1:19? appeared first on WINGU LA MASHAHIDI WA KRISTO.