Jibu: Tusome, Waefeso 2:20 “Mmejengwa juu ya msingi wa Mitume na manabii, naye Kristo Yesu mwenyewe ni jiwe kuu la pembeni” Hapo maandiko yanasema Tumejengwa Juu ya “Msingi wa Mitume na Manabii “na si juu ya “Mitume na Manabii” .. Na pia inasema tumejengwa juu ya “Msingi” na si juu ya Misingi ya mitume na Read More
The post Je ni Kweli Tumejengwa Juu ya Mitume na Manabii? (juu ya Mitume na Manabii) appeared first on WINGU LA MASHAHIDI WA KRISTO.