Jibu: Tusome.. Wafilipi 3:2 “Jihadharini na Mbwa, jihadharini na watendao mabaya, jihadharini na wajikatao” Hapa kuna makundi matatu yaliyotajwa ambayo tunapaswa tujihadhari nayo, kundi la Kwanza ni “MBWA” kundi la Pili ni “WATU WAJIKATAO” na kundi la tatu ni “WATU WATENDAO MABAYA”. Sasa kabla ya kwenda kuangalia Mbwa ni watu wa namna gani, kwanza tuyatazame Read More
The post Biblia Inasema Tujihadhari na “Mbwa” hawa mbwa ni akina nani? (Wafilipi 3:2) appeared first on WINGU LA MASHAHIDI WA KRISTO.