JIBU: Wapo wanaofikiri kwamba Shetani amefungwa, atakuja kufunguliwa kipindi Fulani huko mbele, lakini pia wapo wanaodhani, Shetani Anaishi mahali Fulani kuzimu( aidha chini ya bahari, au kwenye sayari fulani), ambapo huko kuna amesimika utawala wake unaofanana na huu wa duniani. Lakini ukweli ni kwamba shetani hajafungwa, wala hayupo katika eneo Fulani rasmi la mwilini, ambalo Read More
Related Articles
The post Shetani Anaishi Wapi, Je! Amefungwa au yupo kuzimu? appeared first on WINGU LA MASHAHIDI WA KRISTO.