SWALI: Naomba nifahamishwe mbona ni maskini tu huwa Ndio Wanaolipuka Mapepo, na sio matajiri? JIBU: Si kweli, Nguvu za giza huwa hazichagua, hali ya mtu ya kimaisha, zinawavaa matajiri vilevile vinawavaa maskini, zinawavaa wanaume, zinawavaa wanawake, zinawatesa watoto (Marko 9:21), vilevile zinawaathiri mpaka wanyama (Soma Mathayo 8:31 )..Kwasababu kazi ya shetani sikuzote ni kuuharibu mpango Read More
The post Mbona ni maskini tu Huwa Ndio Wanaolipuka mapepo, na sio matajiri? appeared first on WINGU LA MASHAHIDI WA KRISTO.