Jibu: Tiro na Sidoni ni Miji iliyokuwa katika nchi inayoitwa LEBANONI. Tofauti na nchi nyingine ambazo zilibadilika majina baada ya miaka mingi kupita, lakini nchi ya Lebanoni, imeitwa kwa jina hilo hilo tangu nyakati za biblia hata leo. Tiro na Sidoni ni miji ambayo ipo karibu karibu, (Kusini Mashariki mwa Nchi ya Lebanoni), na miji Read More
The post Miji ya Tiro na Sidoni ni miji gani kwasasa? appeared first on WINGU LA MASHAHIDI WA KRISTO.