Swali: Katika Ufunuo 22:16, tunasoma Ile Nyota inamwakilisha Bwana Yesu, lakini tukirudi katika Isaya 14:12, tunasoma ile nyota inamwakilisha shetani, hapa imekaaje? Jibu: Tusome.. Ufunuo 22:16 “Mimi Yesu nimemtuma malaika wangu kuwashuhudia ninyi mambo hayo katika makanisa. Mimi ndimi niliye Shina na Mzao wa Daudi, ile nyota yenye kung’aa ya asubuhi”. Tusome tena.. Isaya 14:12 Read More
The post Je ile nyota ya asubuhi inamwakilisha shetani au Bwana Yesu? appeared first on WINGU LA MASHAHIDI WA KRISTO.