Swali: Katika 1Petro 2:13 Tumeambiwa tutii kila kitu tunachoamriwa na wafalme, lakini katika Matendo 5:29, tunaona Petro huyo huyo hawatii wenye mamlaka, anasema imetupasa kumtii Mungu kuliko wanadamu..Je hapo panakaaje? Jibu:Tusome 1 Petro 2:13 “Tiini kila kiamriwacho na watu, kwa ajili ya Bwana; ikiwa ni mfalme, kama mwenye cheo kikubwa; 14 ikiwa ni wakubwa, kama Read More
The post Je! Biblia Inajichanganya Katika 1Petro 2:13 na Matendo 5:29. appeared first on WINGU LA MASHAHIDI WA KRISTO.