Jibu: Kibiblia “Mhuni” ni mtu anayefanya mambo yaliyo kinyume na maadili. Kwamfano mtu anayetanga kuzaa nje na ndoa, huyo kibiblia ni mhuni. Katika Biblia neno Mhuni/wahuni limeonekana mara moja tu! Katika kitabu cha Ayubu 30:8. Ayubu 30:8 “Wao ni wana wa wapumbavu, naam, WATOTO WA WAHUNI; Walifukuzwa kwa mijeledi watoke katika nchi” Na mambo mengine Read More
The post Wahuni ni Watu Gani Katika biblia? appeared first on WINGU LA MASHAHIDI WA KRISTO.