Get Even More Visitors To Your Blog, Upgrade To A Business Listing >>

Wahuni ni watu gani katika biblia?

Jibu: Kibiblia “Mhuni” ni mtu anayefanya mambo yaliyo kinyume na maadili. Kwamfano mtu anayetanga kuzaa nje na ndoa, huyo kibiblia ni mhuni. Katika Biblia neno Mhuni/wahuni limeonekana mara moja tu! Katika kitabu cha Ayubu 30:8. Ayubu 30:8 “Wao ni wana wa wapumbavu, naam, WATOTO WA WAHUNI; Walifukuzwa kwa mijeledi watoke katika nchi” Na mambo mengine Read More

The post Wahuni ni Watu Gani Katika biblia? appeared first on WINGU LA MASHAHIDI WA KRISTO.



This post first appeared on Cloud Of Witnesses, please read the originial post: here

Share the post

Wahuni ni watu gani katika biblia?

×

Subscribe to Cloud Of Witnesses

Get updates delivered right to your inbox!

Thank you for your subscription

×