Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Julius Mtatiro akizungumza kwenye Semina ya Kijamii ya Uhuru wa kujieleza.
Na Marco Maduhu,SHINYANGA
KLABU ya Waandishi wa Habari Mkoa wa Shinyanga (SPC), kw… Read More
Wakala ya barabara Tanzania (TANROADS) mkoa wa Lindi umefanikiwa kurejesha mawasiliano yaliyokuwa yamekatika kati ya Kilwa Masoko-Nangurukulu wilaya ya Kilwa na wilaya ya Liwale mkoani Lin… Read More
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Jenista Mhagama akitoa Taarifa ya Hali ya Dawa za Kulevya Nchini kwa mwaka 2023 kwa waandishi wa Habari katika Ukumbi wa H… Read More
Na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Shirika la Rafiki SDO limekutanisha Watoto wa Baraza la Watoto Kata ya Ngokolo na Watoa Maamuzi Ngazi ya Kata na Halmashauri ya Manispaa ya Shinya… Read More
Na Nora Damian, Mtanzania Digital
“Wanawake tunapewa mbinu nyingi za kushiriki katika uchaguzi, tunapambana vya kutosha lakini tunarudishwa nyuma. Kuna vikwazo vingi tunaomba Serikali… Read More
MKUU wa Mkoa wa Tanga Balozi Batilda Burian akikagua gwaride kabla ya kufunga mafunzo ya awali ya ya Kijeshi kwa vijana wa kujitolea Operesheni miaka 60 ya JKT kikosi cha Jeshi 838 Maramba… Read More
Na Samwel Mwanga, Itilima
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) Mkoa wa Simiyu, Shemsa Mohammed amehaidi kulivalia njuga suala la baadhi ya wahudumu wa Afya katika Wilaya ya Itilima mkoani… Read More
Mkuu wa Mkoa wa Tanga akizungumza wakati wa ziara ya kutembelea wakulima wa zao hilo katika Mtaa wa Sahare Kijijini Kata ya Mzingani Jijini Tanga ambao pia alizungumza na wakulima w… Read More
Mkurugenzi wa Sera na Mipango wa Wizara ya Kilimo, Obadia Nyagiro,akizungumza wakati wa kikao cha wadau wa Kilimo Ikolojia hai kilichoratibiwa chini ya mwamvuli wa Taasisi za Kilimo Hai Ta… Read More
Na Kadama Malunde – Malunde 1 blog
Benki ya NMB imezindua kampeni ya Umebima Wilaya ya Kahama Mkoa wa Shinyanga - Kanda ya Magharibi kwa lengo la kuhamasisha Watanzania kukata Bima… Read More
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa EWURA, Mha.Poline Msuya akifungua kikao kazi cha Wakurugenzi wa Mamlaka za maji kuhusu mfumo wa kieletroni wa MajIs ulioboreshwa kwa ajili ya kupokea taarifa za… Read More
Picha ikionesha moja ya chungu cha maua kilichowekwa kando ya barabara kikiwa kimewekwa uchafu ambao haukujulikana umewekwa na nani.
Na Dotto Kwilasa,DODOMA
HALMASHAURI ya Jiji… Read More
Na Esther Mnyika, Mtanzania Digital
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Kilimo na Mifugo wamekagua na kuridhishwa na Maendeleo ya ujenzi wa jengo la Utawala la Taasisi ya Utafiti… Read More
Na Esther Mnyika, Mtanzania Digital
Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam,Albert Chalamila amemtaka mkandarasi wa mradi wa barabara ya Kimara , Bonyokwa na Kinyerezi kuhakikisha anajenga … Read More
Jina langu ni Chams kutokea Dar es Salaam, Tanzania, nakumbuka kulikuwa na jamaa ambaye alikuwa ni fundi simu, alikuwa sio muongeaji sana, muda mwingi alikuwa busy na kufanya mambo y… Read More
Mwakilishi kutoka Wizara ya Fedha Dkt Muhajir Kachwamba akichangia umuhimu wa upatikanaji wa vyanzo endelevu vya Mwitikio wa UKIMWI nchini wakati wa kikao cha wadau kilichofanyika j… Read More
Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (Mb) akiangalia bidhaa mbalimbali zinazotengenezwa na Kiwanda cha kuzalisha nyaya za umeme pamoja na transfoma cha Elsewe… Read More
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
Licha ya Waziri wa Madini, Anthony Mavunde kuagiza Wachimbaji wadogo wa dhahabu katika Mgodi wa Ikinibushiu, wilayani Bariadi mkoani Simiyu wapewe leseni… Read More
Mwenyekiti wa taasisi ya Mtetezi wa Mama mkoa Kagera ndg Kauthari Chamani (kushoto) akikabidhi mchango wa kufanikisha safari ya Zanzibar kwa mratibu mkuu wa safari hiyo Enock Bujuli.
N… Read More
Na Mwandishi Wetu, Dodoma
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria imeipongeza Serikali kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera Bunge na Uratibu kwa Usimamizi mzuri wa kukabiliana n… Read More
Na Safina Sarwatt, Moshi
Toleo la 22 la Mbio za Kimataifa za Kilimanjaro Premium Lager International Marathon 2024 limezinduliwa Ijumaa mjini Moshi mkoani Kilimanjaro ikiwa ni ishara yakuanz… Read More
-Asema CCM itaongeza kasi kusimamia Serikali kwa weledi, bila kiburi, wala kuwatukana watendaji
-Asisitiza Watanzania wanatambua CCM ndiyo Chama kiongozi, hakuna haja ya kutukana kusimami… Read More
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Januari 11, 2024 amezindua Hospitali ya Wilaya ya Kaskazini B Pangatupu iliyopo Mkoa wa Kaskazini Unguja yenye uwezo wa k… Read More
Na Kadama Malunde – Malunde 1 blog
Vituo vya Taarifa na Maarifa Wilaya ya Kishapu vimefanya Kikao cha Mrejesho wa Uchambuzi wa Bajeti Kijinsia katika Halmashauri ya Wilaya ya Kishap… Read More
Mamlaka ya USafiri wa Anga nchini imeratibu zoezi la kuwaaga washindi watano wa mbio za kujifurahisha (FUN RUN) zilizofanyika Oktoba 29 jijini Dar es salaam zikiwa sehemu ya maadhimisho ya… Read More
Katika ulimwengu unaobadilika wa kamari mtandaoni, kukaa mbele ya mchezo kunahitaji zaidi ya bahati tu; inadai mbinu ya kimkakati inayoungwa mkono na maamuzi yanayotokana na data. Jukwaa moj… Read More
KAIMU Mkuu wa Idara ya Ardhi, Halmashauri ya Wilaya ya Chalinze, Bw.Deo Damian Msilu,akizungumza na waandishi wa habari mara baada kukagua maeno yaliyopitiwa na Mradi wa Uboreshaji wa Usal… Read More
Ofisa Mtendaji Mkuu wa CMSA CPA. Nicodemus Mkama akizungumza na Waandishi wa Habari (hawapo pichani) kuhusu kupokea ujumbe kutoka Mamlaka ya Masoko ya Mitaji ya nchini Burundi (CMA –… Read More
Na Renatha Kipaka, Kagera
Jeshi la polisi mkoani Kagera kwa kushirikiana na jeshi la ulinzi nchini Burundi wamekamata pikipiki 157 zilizokuwa zimeibwa na bunduki 11 zilizokuwa zikitumika kwe… Read More
Na Patricia Kimelemeta, Mtanzania Digital
WAKATI Serikali inatekeleza Programu ya Malezi, Makuzi na Maendeleo ya Awali ya Mtoto (PJT-MMMAM) ambayo inalenga watoto kuanzia umri sifuri hadi mi… Read More
Naibu Waziri wa Ujenzi, Eng. Godfrey Kasekenya amesema hadi sasa urejeshaji wa miundombinu ya barabara na makalvati iliyokuwa imeharibiwa na maporomoko ya matope na mawe yaliyotokea Disemb… Read More
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
KATIKA kuadhimisha miaka 62 ya Uhuru wa Tanganyika leo Desemba 9, Mwekezaji wa maduka ya watoto, Louis Bonzon, amefungua rasmi duka la vifaa vya watoto j… Read More
Waziri Wa Katiba na Sheria Mhe. Balozi Dkt. Pindi H. Chana akizungumza Disemba 3,2023 jijini Dodoma ,wakati akizindua Maadhimisho ya Siku ya Maadili na Haki za Binadamu Kitaifa, yanaongo… Read More
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
Kampuni ya Mawasiliano ya Halotel Tanzania, imeazimia kuwa chachu katika enzi ya kidigitali, ikiongoza katika suluhisho na huduma za ubunifu zinazokidhi… Read More
Makatibu Wakuu wakikagua maendeleo ya ujenzi nyumba na miundo mbinu ya kuhamisha wananchi wanaotoka eneo la Hifadhi ya Ngorongoro kwenda Kijiji cha Msomera Wilaya ya Handeni wakati w… Read More
Bariadi,
Vijana wajasiriamali Mkoani Simiyu wamehimizwa kufanya marejesho ya mikopo inayotolewa na Serikali kwa wakati ili kujenga uaminifu jambo litakalowawezesha k… Read More
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Bw. Ramadhani Kailima akizungumza na waandishi wa habari kuhusu uboreshaji wa majaribio wa Daftari La Kudumu la Wapiga Kura.
Mkurugenz… Read More
Sehemu ya wanafunzi wa kidato cha nne wa Shule ya Sekondari JK Nyerere iliyopo Tarime iliyojengwa na Barrick North Mara wakicheza na kuimba kwa furaha wakati wa mahafali yao shuleni.
P… Read More
Mkuu wa Mkoa wa Tanga Waziri Kindamba akizungusha mfano wa kadi ya NMB leo wakati wa uzinduzi wa Kampeni ya Mastabata –Halipoi uzinduzi uliofanyika kwenye uwanja wa CCM Mkwakwani Mjin… Read More
Afisa Habari na Mawasiliano wa Timu ya JKT Tanzania, Masau Bwire akizungumza na waandishi wa habari Mjini Shinyanga leo Jumatano Septemba 27,2023
Afisa Habari na Mawasiliano wa Timu ya JK… Read More
Na Mwandishi wetu Malunde Blog Shinyanga
Dkt.Agatha Mgogo ambaye ni Mkurugenzi chuo kikuu huria cha Tanzania mkoa wa Shinyanga ameongoza Mahafali ya Tatu ya darasa la saba 2023 katika Sh… Read More
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Komredi Daniel Godfrey Chongolo ameeleza hatua mbalimbali zinazochukuliwa na Serikali, kutekeleza Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya 2020 – 2025, kw… Read More
Na Dotto Kwilasa, Dodoma
MAKAMU wa Rais Dk Philip Mpango amezindua ramani ya kidigitali ya utambuzi wa mashirika yasiyo ya kiserikali huku akiyataka mashirika hayo kulinda na kutunza … Read More
Asilimia kubwa ya Wahitimu wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT), wana uwezo mkubwa wa kuchanganua na kukabiliana na changamoto mbalimbali zinazokabili jamii yetu.
Hayo yamesemwa na Wazi… Read More