Sheikh maarufu Manispaa ya Shinyanga na Kanda ya Ziwa kwa ujumla Sheikh Msafiri Kitumbo ambaye pia ndiye Mratibu wa Maulid za Mtume Mohamed S.A.W Kanda ya ziwa amempongeza na kumfananisha… Read More
Na MWANDISHI WETU MALUNDE 1 BLOG
Mkazi wa Mtaa wa Nyasubi katika Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga Mseveni Mchele Derefa amehukumiwa kifungo cha miaka 30 jela, viboko 10 na faini ya Shi… Read More
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt Hussein Ali Mwinyi ameipongeza Benki ya CRDB kwa juhudi inazozionyesha kuboresha afya nchini na kuzitaka kampuni nyingine binafsi… Read More
Ninazijua shida nilizopitia kwenye yumba za kupanga, raha yake ni kuwa unatembea na nyumba yako mfukoni yaani unahama wakati wowote ule unapoitwa wewe mpangaji, ila mambo mengi sana kwenye… Read More
Na Faraja Masinde, Mtanzania Digital
Serikali imesema imani, mila, na desturi za kitamaduni, ukosefu wa usawa wa kijinsia bado ni miongoni mwa sababu zinazorudisha nyuma udhibiti wa magonjwa… Read More
************* Wakala wa Vipimo Mkoa wa Dar es Salaam imeendeshaukaguzi wa kushtukiza kwenye maduka ya kuuzia nyama kwalengo la kujiridhisha kama Vipimo vinatumika kwa usahihi.Takribani… Read More
Kiburi ni nini? Kulingana na biblia kiburi “ni hali ya mtu kujiinua kifikra, na kuamini kuwa hahitaji msaada wowote kutoka kwingine”. Hali hii inaambatana na kudhihirisha tabia n… Read More
Na Ashura Kazinja, Morogoro
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Daniel Chongolo amepiga marufuku tabia za wazazi na walezi nchini kuwatumia watoto wakike katika shughuli za kimil… Read More
Na Koku David, Mtanzania Digital
MENEJA wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Mkoa wa Kikodi Kariakoo, Alex Katundu amezindua kampeni ya Twende Nao Tukawaelimishe yenye lengo la kuwaelimisha… Read More
Mfano mwanafunzi akivuta bangiMwenyekiti wa mtaa wa Dome Solomon Najulwa akizungumza kwenye kikao cha mtaa huoNa Suzy Luhende, Shinyanga Press Club BlogMwenyekiti wa mtaa wa Dome kata Ndembe… Read More
Na Tausi Ally, Mtanzania Digital
MTU na Dada yake wamehukumiwa kwenda jela miaka minne kwa kumtukana na kumpiga mama yao Maria Vazi.
Washtakiwa hao, Zulfikar Safraz na Nurin Safraz wametiwa… Read More
Amos Nyang'wajiKijana mmoja aliyefahamika kwa jina la Amos Nyang'waji (25), mkazi wa Kijiji cha Matui wilayani Kiteto mkoani Manyara, amehukumiwa kwenda jela miaka minne kwa kosa la kumchara… Read More
Vijana wa Japani hawanywi pombe ya kutosha - jambo ambalo mamlaka zinatarajia kubadilisha kupitia kampeni mpya.Vijana wa kizazi kipya hunywa kiasi kidogo cha pombe kuliko wazazi wao - hatua… Read More
Wakulima wakiuza pamba yao kwenye kituo cha ununuzi AmcosPamba safi ikiwa kwenye kituo cha pamba ununuzi kwaajili ya kununuliwaMwandishi wa Makala haya Daniel Limbe akishuhudia ubora wa pamb… Read More
Viongozi mbalimbali wa kata zilizolengwa na mradi huo wakiwa kwenye picha ya pamoja wakati wa uzinduzi wa mradi wa Hisani katika jamii( Community Philanthropy)Na Suzy Luhende,ShinyangaS… Read More
Askofu wa Kanisa Katoliki jimbo la Shinyanga Mhashamu Liberatus Sangu akiwa katika Picha ya pamoja na Bw. Richard John anayetarajia kufunga ndoa hivi karibuni mara baada ya Misa ya Domi… Read More
Khamis Mgeja*MUDA mfupi mara baada ya kuapishwa kwa mawaziri wapya ambao wameteuliwa na Rais Samia Suluhu Hassan, Mwenyekiti wa Taasisi ya Mzalendo Foundation ya mjini Kahama mkoani Shinyang… Read More
Mimi niliolewa kwa wakili flani mjini Kitoholi Tanzani ambaye pamoja tumejaliwa kupata watoto wawili. Maisha yetu ya ndoa yalikuwa mazuri hadi hata tulifanya harusi naye kwa furaha. Nai… Read More
1. UtanguliziKutokana na mwenendo wa ugonjwa wa corona (UVIKO-19) nchini, Kamati ya Wataalamu imeainisha maeneo mahususi yanayohitaji kutiliwa mkazo kupitia afua za kupunguza msongamano kati… Read More
Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani akizungumza na Wakandarasi kutoka Kampuni 34 ambao wanatekeleza Mradi wa usambazaji umeme Vijijini wa Awamu ya Tatu, mzunguko wa Pili (hawapo pichani)… Read More
Mchungaji mmoja kutoka eneo la Nkpor, Idemili Kaskazini lililopo katika jimbo la Anambra nchini Nigeria, kwa jina Onye Eze Jesus, ameomba msamaha kwa umma kwa video yake ya utupu iliyosambaa… Read More