MENEJA wa Benki ya NMB Kanda ya Kaskazini Baraka Ladislaus akizungumza wakati wa ufunguzi wa maadhimisho hayo ambapo mgeni rasmi alikuwa ni Waziri wa Elimu Profesa Adolf Mkenda a… Read More
Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Kikwete kwa nafasi yake ya Mwenyekiti wa Bodi ya Taasisi ya Ubia wa Elimu Duniani (GPE) ameshiriki Mkutano wa Mwaka 2024 wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB 2024… Read More
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Mhe. Prof. Adolf Mkenda akiwasilisha Bungeni Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Fedha kwa Mwaka 2024/2025.
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia… Read More
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
Jumla ya watahiniwa 113,504 wamesajiliwa kufanya mtihani wa kidato cha sita, kati yao watahiniwa wa shule ni 104,449 na wakujitegemea ni 9,056.
Pia, juml… Read More
Mmoja wa wahitimu wa programu ya mafunzo ya uongozi (FFT) kwa mwama huu, Kulwa Nyirenda anayefanya kazi GGML, akipokea cheti kutoka kwa Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Wato… Read More
Na Mwandishi wetu, Mtanzania Digital
Mkuu wa Wilaya ya Serengeti Dk. Vincent Mashinji amesema Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) imeendelea kuunga mkono jitihada za Baba wa… Read More
Na Mwandishi wetu
Uwepo wa ngoma za jadi wanazochezwa wasichana wadogo kwa jamii ya Mkoa wa Pwani kumechangia uwepo wa ndoa na mimba za utotoni na kusababisha wasichana kuhsindwa kufikia… Read More
Na Dotto Kwilasa,Dodoma
Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM)kimezindua Harambee ya kuwachangia wanafunzi wenye mahitaji maalum wanaosoma chuoni hapo ili kuchochea ari ya mafanikio yao ikiwa ni… Read More
Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Ummy Nderiananga (wa pili kushoto) akishiriki chakula cha pamoja na wanafunzi wa Shule ya Msingi Mwanga Viziwi Mkoani Kilim… Read More
Na Mwandishi Wetu, Kasulu
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe.Prof.Joyce Ndalichako amesema Sh.Bilioni tatu zimetolewa na serikali kwa… Read More
Mkuu wa Wilaya ya Rungwe, Jaffar Haniu ameshiriki katika Baraza la Madiwani cha Halmashauri ya Busokelo Wilayani Rungwe pamoja na kukagua miradi mbalimbali ya Maendeleo.Akitoa salamu za Seri… Read More
Muonekano wa Bweni lililoteketea kwa moto na kusababisha vifo vya wanafunzi watatu katika kituo cha kulelea watoto wenye ulemavu cha Buhangija mkoa wa Shinyanga.Muonekano wa Bweni lililoteke… Read More
Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Dk. Yahaya Nawanda akiongoza kikao cha RCC.Na Marco Maduhu, SHINYANGAKAIMU Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Dk. Yahaya Nawanda, ameongoza kikao cha kamati ya ushauri… Read More
Wanawake wakiburudika Sherehe ya Shy Women's Day Out na mtoa mada Dokta Kumbuka.Na Marco Maduhu,SHINYANGASHEREHE ya wanawake Shy Women’s Day Out ambayo imeendeshwa na kikundi cha Wanaw… Read More
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitoa tuzo kwa washindi wa Mafunzo ya Uanagenzi kwenye kundi la Makampuni makubwa kwa mwaka 2023. Makabidhiano hayo yalifanyika katika hafla kati ya Baraza la T… Read More
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
Ofisi ya Waziri Mkuu imeandaa chakula cha mchana na kushiriki pamoja na wanafunzi wa Chuo cha Ufundi Stadi Yombo ambacho ni maalum kwa watu wenye ulemavu kat… Read More
Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Watu wenye Ulemavu, Mhe. Patrobas Katambi akizungumza na uongozi na wanafunzi wa Chuo cha Mipango ya Maendeleo Vijijini wakati wa h… Read More
Madiwani wa Halmashauri ya Itigi wakiwa wanapitia makabrasha yao yenye bajeti ya mwaka wa fedha 202122 kwa ajili ya kuijadili, kupendekeza na hatimaye kuipitisha.Na Abby Nkungu, Itigi… Read More
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Ajira, Vijana na Wenye Ulemavu, Profesa Joyce Ndalichako akimkabidhi cheti mmoja wa wahitimu kwenye mahafali ya 57 ya Chuo cha Elimu ya Biashara (CB… Read More
Mkurugenzi wa Shirika la WEADO Eliasenya Nnko akizungumza wakati wa kutambulisha mradi wa vunja ukimya, zuia ndoa na mimba za utotoni wilayani Shinyanga ambao utatekelezwa Kata ya Masengwa n… Read More
Na Nora Damian, Mtanzania Digital
“Kwanza heshima yako kama inawezekana naomba siku nije Ikulu tuongee vizuri mimi na wewe,” anasema Emmanuel Mzena alipozungumza kwa simu na Rais… Read More
Naibu Katibu Mkuu huyo wa CCM Bara Christina Mndeme (aliyesimama katikati akizungumza na wajumbe wa halmashauri kuu ya CCM wilaya ya Kasulu akiwa kwenye ziara ya kichama mkoani Kigoma.Naibu… Read More
Maandalizi ya Sensa ya watu na makazi ya mwaka 2022UtanguliziSerikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imepanga kufanya Sensa ya Watu na Makazi ifikapo mwezi Agosti 2022. Wizara ya F… Read More
Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ameweka alama kubwa ya mafanikio katika maendeleo ya sekta ya masoko ya mitaji katika kipindi cha siku 365 za uongozi… Read More
Renatha Kipaka, Bukoba
Baraza la Madiwani katika Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba mkoani Kagera limepitisha bajeti ya zaidi ya Sh bilioni 42.7 kwa ajili ya kutekeleza miradi mbalimbali ya mae… Read More
TAASISI ya Rose Manumba Trust kwa kushirikiana na Give A Future Foundation kupitia program ya 'Jiajiri' wamekabidhi vifaa vya ufundi kwa wanafunzi kumi na moja waliopata mafunzo kutoka Mamla… Read More
Na Mwandishi Wetu, Iramba
Kamati ya Kudumu ya Bunge Masuala ya UKIMWI imefanya ziara ya kukagua utekeleaji wa shughuli za Mradi wa kinga dhidi ya maambukizi ya UKIMWI, mradi wa Timiza Maleng… Read More
Na Mwandishi Wetu, Pwani
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, anayeshughulikia Sera, Uratibu, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu,Jenista Mhagama, ameridhishwa na maendeleo ya mafun… Read More