*Mkurugenzi Mkuu abainisha mafanikio lukuki, asema yamechangiwa na Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan
*TEF yakoshwa na utendaji wa NSSF yapongeza kazi kubwa i… Read More
Maendeleo ya Teknolojia yamekuja na manufaa makubwa lakini papo hapo katika uandishi wa kazi za kitaaluma yameleta changamoto nyingi ikiwemo utengenezaji wa machapisho kupitia akili bandi… Read More
Na Beatrice Kaiza, Mtanzania Digital
CHUO Kikuu cha Dar es Salaam, Ndaki ya Sayansi za Jamii kimezindua kitabu kuhitimisha mradi wa ’Ushirikiano wa wadau mbalimbali katika Uhifadhi na… Read More
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
AFISA Muhifadhi Wakimbizi Mwandamizi kutoka Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR), nchini Tanzania, Boniface Kinyanjui amesema, Seri… Read More
Na Mwandishi Wetu, Michuzi TVRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa ahadi ya kununua kila goli kwa Tsh. Milioni 5/- wakati timu za Simba na Yanga zikicheza… Read More
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
Mhariri wa MTANZANIA DIGITAL, Faraja Masinde, ameibuka mshindi wa jumla wa tuzo za uandishi wa habari za watoto (TEFCRA) kwa mwaka 2022 zilizoandaliwa na… Read More
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
Serikali imesema kuwa kuwepo kwa vikao na wadau ni ishara kuwa ina nia na dhamira njema kwa sekta ya habari nchini.
Hayo yameelezwa hivi karibuni jijini… Read More
Na Clara Matimo, Mwanza
Jumla ya wanachama 10 kutoka Klabu ya Waandishi wa Habari Mkoa wa Mwanza(MPC) pamoja na wanafunzi 15 vijana wanaosomea fani ya uandishi wa habari katika Chuo Kikuu ch… Read More
Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Brain Incorperated Ltd, Jesse Kwayu akitoa mada kuhusu sheria mbalimbali za vyombo vya habari kwenye semina kwa Wahariri wa Habari iliyoandaliwa M… Read More
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
Jukwaa la Wahariri Tanzania(TEF) limesema vyombo vya Sheria kama mahakama havipaswi kufungwa na sheria ya habari katika kutoa hukumu yake kulingana na uz… Read More
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
Serikali kupitia Idara ya Habari Maelezo imeshauriwa kutojipa jukumu la kusimamia na ‘kuhariri’ vyombo vya habari pia mambo yote yanayotokana… Read More
Mtangazaji wa kituo cha televisheni cha Azam, Godluck Paul (kulia) akiendesha mjadala wakati wa mkutano wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA) na wadau jana Agosti 11, 2022 Mkurugenzi wa Huduma… Read More
Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu Dkt. Kiagho Kilonzo akifungua Mafunzo ya Filamu kwa Wadau wa Filamu yaliyoandaliwa na Bodi kwa lengo la kuwajengea uwezo Wadau, Jijini DodomaMkurugenzi Msai… Read More
Na Dotto Kwilasa,Malunde 1Blog-DODOMA .RAIS wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hasani anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye kilele cha siku ya wafanyakazi-Mei Mosi itakayofanyika… Read More
Fidelis Mkatte Mchambuzi wa Masuala ya Fedha Katika Benki Kuu ya Tanzania BoT wakati akitoa mada kwa waandishi waandamizi na wahariri wa vyombo mbalimbali nchini katika semina inayofan… Read More
MWANDISHI Mkongwe na Mchambuzi wa siasa Jenerali Ulimwengu amewataka wamiliki wa Vyombo vya Habari nchini kushirikiana na waandishi wao katika mapambano dhidi ya Uhuru wa Habari.Ulimwengu am… Read More
Na Nora Damian, Mtanzania Digital
Katika jitihada za kuwasaidia watu wenye ulemavu kiafya Serikali imeandaa mwongozo wa utambuzi wa mapema wa watoto wenye ulemavu na kanuni za maadili za afy… Read More
Na Faraja Masinde, Dar es Salaam
Jukwaa la Wahariri nchini (TEF) limesema kauli ya Rais Samia Suluhu Hassan kuhusu kufunguliwa kwa vyombo vya habari ni mwanzo mzuri wa kutambua umuhimu wa t… Read More
Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Kanda ya Ziwa Mhandisi Francis Mihayo akizungumza wakati wa mafunzo ya Kanuni za Utangazaji kwa vituo vya utangazaji Kanda ya Ziwa.Na Kadama Ma… Read More
Na.Paschal Dotto-MAELEZO.Katika kuhakikisha uchaguzi unakuwa huru na haki, Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kwa Mamlaka iliyopewa kikatiba ya kuratibu na kusimamia shughuli zote z… Read More
Baraza la Habari Tanzania (MCT) limetoa salamu za pole kwa Mkurugenzi wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC), Dk. Ayub Rioba, familia nzima ya televisheni hiyo na wafiwa wote kwa misiba ya… Read More
WIZARA ya Mifugo na Uvuvi imesema kuwa idadi ya samaki waliopo nchini haitoshelezi kulingana na idadi ya Watanzania ambayo inazidi kuongezeka kila na kushindwa kila mtu kula wastani wa kilog… Read More