Makamu wa Rais wa pili Zanzibar, Hemed Suleiman (kushoto) akimkabidhi tuzo Mkurugenzi mtendaji wa GGML, Terry Strong baada ya kampuni hiyo kuibuka mshindi wa jumla katika maonesho ya tekno… Read More
Mhandisi Uchimbaji Mwandamizi wa mipango kazi mirefu na wa chini ya ardhi kutoka GGML, Emanuel Njabugeni (kushoto) akiwaelezea wageni kutoka nchini Uganda namna GGML inavyotumia teknoloji… Read More
*Mkurugenzi Mkuu amueleza Naibu Waziri Mkuu jinsi wanavyowafikia wachimbaji wadogo
*Mkoa wa Geita pekee walikusanya bilioni 56 kwa mwaka fedha ulioishia Juni 2023
Na MWANDISHI WETU, GEIT… Read More
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
MKUU wa Mkoa wa Geita, Martin Shigela ameipongeza Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) kwa kuendelea kuwa mdhamini mkuu wa maonesho ya sita ya tek… Read More
Waziri wa Madini Dkt. Doto Biteko leo Agosti 24, 2023 ametembelea na kuzungumza na watumishi wa Ofisi ya Madini Mkazi Mkoa wa Mtwara.
Aidha, Dkt.Biteko amekutana na kuzungumza na Uongo… Read More
Naibu Waziri wa Madini Dkt. Stephen Kiruswa amesema kutokana na kuwapo kwa changamoto za wawekezaji katika zao la chumvi nchini, Serikali imeagiza Shirika la Madini STAMICO kujenga kiwanda… Read More
Clara Matimo, Mwanza
Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wachimbaji Wadogo wa Madini Tanzania(FEMATA, John Bina, amewaasa wachimbaji kuhudhuria kwa wingi kwenye kongamano la wachimbaji wadogo wa… Read More
Waziri Dotto Bitteko wa Wizara ya Madini akizungumza jambo kwenye mkutano wa Wizara hiyo (Breakfast Mining Briefing) na Chama Cha wachimbaji wa Madini na Wadau mbalimbali wa sekta hiyo na ku… Read More
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
Taasisi za Fedha nchini zimeshauri kuundwa Kikosi Kazi kitakachohusisha taasisi hizo na nyingine ikiwemo Wizara ya Madini, Shirika la Madini la Taifa (ST… Read More
Mhandisi Mwelekezi wa Mradi wa Ujenzi wa bwawa la tope katika mgodi wa Williamson Diamond Limited, Mhandisi Anael Macha akimuonesha eneo la bwawa jipya katika Mgodi wa Mwadui Waz… Read More
Mkutano wa wachimbaji wadogo wa madini ya dhahabu Mwakitolyo namba 5 wilayani Shinyanga wa kusoma mapato na matumizi.Na Marco Maduhu, SHINYANGAKIWANDA cha Uchenjuaji dhahabu (NAPOL ELUTION P… Read More
Arusha. Tarehe 18 Mei 2022 - Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Philip Mpango ameipongeza Benki ya CRDB pamoja na taasisi yake ya CRDB Bank Foundation kwa ubunifu iliokuj… Read More
Na Clara Matimo, Mwanza
Naibu Waziri wa Wizara ya Madini, Dk. Steven Kiruswa Mei 8, 2023 anatarajia kutembelea mabanda mbalimbali yaliyopo kwenye maonesha ya WIKI YA MADINI inayofanyik… Read More
*Waziri Biteko ataka wenye Viwanda kununua Madini kwa bei Elekezi, watakiwa kuwasikiliza wadau
*Awasisitiza Wachimbaji Wadogo kuzalisha madini yenye ubora kuepusha hasara
*Azindua Kalenda ya… Read More
Makamu Rais wa Kampuni mama ya GGML, AngloGold Ashati – anayeshughulikia miradi endelevu Ghana na Tanzania, Simon Shayo akielezea mchango wa GGML katika mdahalo wa miaka miwili ya Seri… Read More
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) umegizwa kupanua wigo wa programu atamizi za wajasiriamali wadogo ili waweze kuyafikia makundi meng… Read More
Waziri wa Madini Dkt. Doto BitekoNa. Tito Mselem, DodomaWaziri wa Madini Dkt. Doto Biteko ametatua mgogoro wa wachimbaji wadogo wa madini ya dhahabu katika kijiji cha Nayu Kata ya Dabalo wil… Read More
Rais wa Chama Cha Wachimbaji wadogo wa Madini Tanzania (FEMATA), John Bina (wa pili kushoto) akiwa katika banda la Chama cha Wachimbaji Wanawake Tanzania (TAWOMA) katika uwanja wa… Read More
Mkurugenzi Mtendaji wa HakiRasilimali Adam Anthony akizungumza wakati wa ufungaji wa Jukwaa la Sekta ya uziduaji mwaka 2022.Na Marco Maduhu, DODOMAJUKWAA la Sekta ya uziduaji lililoandaliwa… Read More
Mtemi wa Jeshi la Jadi Sungusungu kijiji cha Lunguya, Julius Kahenyela Manyama Na Kadama Malunde - Malunde 1 blog Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP) umeendesha Mkutano wa Tathmini y… Read More
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Madini, Msafiri Mbibo (kushoto) akimsikiliza Ofisa wa masuala ya usalama kutoka Kampuni ya Geita Gold Mining Ltd. (GGML), Israel Isaka (kulia) aliyekuwa akitoa… Read More
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
MCHIMBAJI mdogo wa madini ya Tanzanite,Anselm Kawishe,sasa ni bilionea mpya mjini hapa baada ya kusota miaka 15 akichimba madini hayo na kufanikiwa kupat… Read More
Kamishna Msaidizi Tume ya Madini Tanzania na Afisa Mtendaji Mkuu wa Shirikisho la vyama vya wachimbaji wadogo wa madini (FEMATA) Haroun Kinega (kulia) akimsikiliza Afisa Msimamizi wa Fedha w… Read More
Na MWANDISHI WETU,TABORAKatika kuelekea Kilele cha Maadhimisho ya Siku ya UKIMWI Duniani, Waziri wa Madini Doto Biteko ameitumia fursa hiyo kuwaasa wachimbaji wote wa Madini Nchini kuh… Read More
Mtakwimu wa tume ya madini Azihar Kashakara akieleza utendaji kazi na maboresho ya tume hiyo kwa kamati ya siasa ilipotembelea kwenye banda hilo. Picha zote na Alphonce KabilondoMwenyekiti w… Read More
Naibu Waziri wa Madini Stanslaus Nyongo katikati, kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Iramba, Immanuel Luhahula, Kulia ni Afisa Madini Mkazi wa Mkoa wa Singida Chone Malembo wakielekea… Read More
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
Naibu Waziri wa Madini, Dk. Steven Kiruswa ameiagiza Tume ya Madini kutafuta Masoko ya wanunuzi wakubwa wa madini ya Vito ndani na nje ya nchi ili kuwawe… Read More