Mbwa Mwitu Lyrics by Young Lunya
Young Lunya Lyrics
Read and sing aloud Mbwa Mwitu Lyrics by Young Lunya. The song has been well received by fans in Tanzania and beyond.
READ ALSO: Freest… Read More
Paka Na Panya (Derby) Lyrics by Roma Mkatoliki featuring Latifah
Roma Mkatoliki Lyrics
Read, sing aloud and enjoy Paka Na Panya (Derby) Lyrics by Roma Mkatoliki featuring Latifah. The son… Read More
Na Mwandishi wetu
Wapiga kura 11,936 wanatarajiwa kupiga kura kesho tarehe 09 Juni, 2024 kwenye uchaguzi mdogo wa Jimbo la Kwahani lililopo Wilaya ya Mjini, Mkoa wa Mjini Magharibi, Zan… Read More
NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM
SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limeadhimisha Siku ya Chakula Salama Duniani kwa kuendelea kusisitiza ulaji wa chakula salama kwa wananchi ili kuondo… Read More
Na,Chedaiwe Msuya-Wizara ya Fedha-Kigoma.
Wananchi Mkoani Kigoma wametakiwa kujenga utamaduni wa kuwekeza fedha zao kwa kununua Hati Fungani mbalimbali zinazouzwa na Serikali ili iwe moj… Read More
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Wakili Julius Mtatiro amezindua hotel iliyopo kata ya Tinde wilayani Shinyanga ijulikanayo kama AZAT HOTEL.
Hafla hiyo ya uzinduzi imefanyika leo Juni 1, 2024… Read More
Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Julius Mtatiro akizungumza kwenye Semina ya Kijamii ya Uhuru wa kujieleza.
Na Marco Maduhu,SHINYANGA
KLABU ya Waandishi wa Habari Mkoa wa Shinyanga (SPC), kw… Read More
Chuo cha Sayansi za Afya Kolandoto Shinyanga kimeshiriki maadhimisho Kitaifa ya Elimu, ujuzi na ubunifu yanayofanyika jijini Tanga kwenye viwanja vya Shule ya sekondari ya Popatlal.
Akizun… Read More
Kaimu Mkurugenzi wa Uzingatiaji na Ufuatiliaji Sheria NEMC, Hamad Taimuru akizungumza na waandishi wa habari leo Mei 16, 2024 katika Ofisi za NEMC Jijini Dar es Salaam wakati akitoa taarifa… Read More
MBUNGE wa Singida Mashariki, Miraji Mtaturu ameishauri Wizara ya Mifugo na Uvuvi kukaa na wizara za kisekta ili kusaidia wakulima na wafugaji kuondokana na migogoro.
Amesema migogoro mi… Read More
NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt Doto Biteko akizungumza wakati wa kilele cha maadhimisho ya siku ya wauguzi duniani yaliyofanyika Jijini Tanga ambapo alimwakilisha Rais Dkt Sam… Read More
Winfrida Mtoi na Onesmo Kapinga
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk. Damas Ndumbaro, amekitaka Chama Cha Soka Wilaya ya Temeke(TEFA), kulinda na kuendeleza heshima ya kimpira&nbs… Read More
Na Nora Damian, Mtanzania Digital
Askofu Mkuu wa Kanisa la Tanzania Assemblies of God (TAG), Dk. Barnabas Mtokambali amesema miaka 85 ya kanisa hilo imekuwa na mafanikio makubwa kwa kuwaunga… Read More
Mkuu wa Tawi la Utawala JKT na Mwenyekiti wa Kamati ya Kimkakati ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi, Brigedia Jenerali Hassan Mabena,akiondoa kitambaa tayari kuzindua jiko la gesi katika Kikosi 8… Read More
Na Seif Takaza, Iramba
MKUU wa Mkoa wa Singida, Halima Dendego amewapongeza wananchi wa Mkoa wa Singida kwa kushiriki kikamilifu kuadhimisha miaka 60 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzib… Read More
Na Oscar Assenga,KOROGWE.
KAMPENI ya Usalama barabara inayotolewa na Jeshi la Polisi kwa kushirikiana an Shirika la Amend Tanzania kupitia Ubalozi wa Uswis nchini umewafikia waendesha pikip… Read More
Na Mwandishi Wetu, Arusha
KATIKA kuelimisha wananchi na washiriki wa maonesho ya usalama na afya mahali pa kazi namna ya kuzingatia usalama wawapo katika shughuli zao, Kampuni ya Geita Gold… Read More
Na mwandishi wetu.
Baadhi ya wajumbe wa Baraza la Wafugaji Tarafa ya Ngorongoro (NPC) wameiomba serikali kufanya ukaguzi maalum matumizi ya fedha ya baraza hilo ili kuondoa mgogoro wa chini… Read More
KAMISHNA JENERALI wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za kulevya Aretas Lyimo akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam
***
Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana… Read More
Na Kadama Malunde – Malunde 1 blog
Benki ya NMB imezindua kampeni ya Umebima Wilaya ya Kahama Mkoa wa Shinyanga - Kanda ya Magharibi kwa lengo la kuhamasisha Watanzania kukata Bima… Read More
Mkurugenzi wa Kampuni ya gesi ya oryx Araman Benoite na Mkurugenzi wa Taasisi ya Doris Mollel , Doris Mollel wakimkabidhi mtungi wa kupikia wa gesi ya Orxy mmoja wa wauguzi katika hospital… Read More
KIONGOZI wa Mbio za Mwenge wa Uhuru mwaka 2024 Godfrey Mnzava katikati akifungua koki ya maji baada ya kuzindua mradi wa maji wa kuboresha hali ya upatikanaji wa huduma ya maji Kata ya… Read More
Na Nora Damian, Mtanzania Digital
Zaidi ya watu 50 wamefariki dunia kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha ambazo zimesababisha mafuriko katika maeneo mbalimbali nchini.
Vifo 28 zimeripotiw… Read More
*Makundi makubwa mawili yaibuka CCM Rory
*Mwenyekiti wa CCM, DC warushiwa kombora, wenyewe wajibu
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
ZIARA ya Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM… Read More
*Awataka wana-CCM kuziendea chaguzi kwa kujiamini
Na Ramadhan Hassan, Dodoma
KATIBU Mkuu mpya wa Jumuiya ya Wazazi Tanzania, Ally Hapi amesema atahakikisha anasimamia Jumuiya hiyo ili iwe ye… Read More
Upungufu wa nguvu za kiume ni hali ya kushindwa kufanya tendo la ndoa kikamilifu ,shughuli ya tendo la ndoa huhusisha akili, homoni, neva, misuli, hisia na mirija ya damu. Upungufu wa ngu… Read More
Na Dotto Kwilasa,DODOMA
WAZIRI Wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Dkt. Stergomena Tax , amesema wizara yake kupitia JWTZ imechangia katika kulinda mipaka ya nchi pa… Read More
Picha ikionesha moja ya chungu cha maua kilichowekwa kando ya barabara kikiwa kimewekwa uchafu ambao haukujulikana umewekwa na nani.
Na Dotto Kwilasa,DODOMA
HALMASHAURI ya Jiji… Read More
Na Oscar Assenga, TANGA.
BODI ya Korosho Tanzania Mkoani Tanga imewaonya wakulima wenye tabia za kutorosha Korosho kwenda kuuza nje ya nchi kuacha mara moja kufanya hivyo kwani siku zao zin… Read More
Katika mwendelezo wa utamaduni wa Benki ya CRDB kuungana na Waumini wa Dini ya Kiislamu wanaoishiriki Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan imejumuika na wateja pamoja na makundi yenye… Read More
Jina langu naitwa Ndaroka kutokea Mwanza nchini Tanzania, wakati naanza mwaka wa kwanza nilimpa mimba mpenzi wangu, nilikuwa naye toka nikiwa kidato cha tano, bahati mbaya alifeli akaishi… Read More
Na Kadama Malunde – Malunde 1 blog
Kamati ya Kudumu ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya Hesabu za Serikali (PAC) imefanya ziara ya kukagua miradi ya umeme Mkoani Shinyang… Read More
Na Joel Maduka,Geita
Kufuatia kuondoka kwa aliyekuwa mhasibu wa kanda ya ziwa wa chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA ,Upendo Furaha Peneza na kurudi chama cha mapinduzi CCM… Read More
Na Nora Damian, Mtanzania Digital
Katibu Tawala Wilaya ya Kinondoni, Stella Msofe amesema wamejipanga kuendelea kuwawezesha wanawake kiuchumi na kuwataka maofisa maendeleo ya jamii kusimamia… Read More
Na Salvatory Ntandu _ Kahama
MAMLAKA ya kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya nchini (DCEA) kwa kushirikiana na Ofisi ya Taifa ya Mashitaka (NPS) wamewafikisha katika Mahakama ya Wilay… Read More
Na Esther Mnyika, Mtanzania Digital
Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam,Albert Chalamila amemtaka mkandarasi wa mradi wa barabara ya Kimara , Bonyokwa na Kinyerezi kuhakikisha anajenga … Read More
Mbunge wa Mkoa wa Mbeya Sophia mwakagenda kwa kushirikiana na wanawake wachimbaji wadogo wa madini wametoa msaada wa vitu mbalimbali vikiwamo 'diaper', sukari, sabuni na juice kwa akinam… Read More
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme akiongoza kikao cha Kamati ya Ushauri Mkoa wa Shinyanga (RCC leo Alhamisi Machi 7,2024 katika ukumbi wa Chuo cha Walimu Shinyanga (Shy… Read More
Mwenyekiti wa Bodi TGNP, Bi. Gemma Akilimali akizungumza wakati wa maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani ambapo TGNP wameanzisha leo Machi 6, 2024 kwenye viwanja vya TGNP-Mtandao Jijini… Read More
Upungufu wa nguvu za kiume ni hali ya kushindwa kufanya tendo la ndoa kikamilifu ,shughuli ya tendo la ndoa huhusisha akili, homoni, neva, misuli, hisia na mirija ya damu. Upungufu… Read More
Na Nora Damian, Mtanzania Digital
Mjumbe wa Bodi ya Wadhamini wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Azavel Lwaitama ameshauri vyama vya upinzani kuungana ili kuwe na upinzani w… Read More
`
Serikali kupitia Wizara ya Afya imepokea vitendea kazi vyenye thamani ya Milioni 800 kutoka kwa wadau wa CDC kupitia THPS kwa ajili ya mapambano dhidi ya UKIMWI na Kifua Kikuu katika Mkoa… Read More
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme akiwa ameshikilia hati wakati akisikiliza kero ya ardhi kutoka mmoja wa wananchi katika Manispaa ya Kahama.
Na Kadama Malunde … Read More
Na Rose Ngunangwa, Dar
Wadau wa teknolojia ya kimtandao mwishoni mwa wiki waliadhimisha Siku ya Usalama Mtandaoni kwa kufanya majadiliano yenye lengo la kukabiliana na upotoshaji na taari… Read More
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
Licha ya Waziri wa Madini, Anthony Mavunde kuagiza Wachimbaji wadogo wa dhahabu katika Mgodi wa Ikinibushiu, wilayani Bariadi mkoani Simiyu wapewe leseni… Read More
*Aipongeza REA kusambaza umeme vijijini kwa ufanisi
*DG REA aeleza Shilingi Bilioni 73.9 zimewekezwa kutekeleza Miradi mitano ya umeme vijijini mkoani Arusha
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Dig… Read More
Na Mwandishi wetu, Mtanzania Digital
Mkuu wa Wilaya ya Serengeti Dk. Vincent Mashinji amesema Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) imeendelea kuunga mkono jitihada za Baba wa… Read More
Mwenyekiti wa taasisi ya Mtetezi wa Mama mkoa Kagera ndg Kauthari Chamani (kushoto) akikabidhi mchango wa kufanikisha safari ya Zanzibar kwa mratibu mkuu wa safari hiyo Enock Bujuli.
N… Read More
Na OKULY JULIUS , Dodoma
SHIRIKA la Amend kupitia ufadhili wa Ubalozi wa Uswisi nchini Tanzania wametoa mafunzo ya usalama barabarani kwa waendesha bodaboda zaidi ya 250 katika Jiji la… Read More
#Viongozi wa CHADEMA wampongeza Rais kwa kufungua ukurasa mpya nchini kupitia falsafa yake ya R4
# Atajwa kuwa ni "Mama wa Demokrasia" wa Tanzania
Januari 24, 2024
Na Waandishi Wetu -Dar… Read More