Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi
Jaji wa Rufaa Jacobs Mwambegele
********
Na Mwandishi Maalum - NEC
Wapiga Kura 74,642 walioandikishwa katika Daftari la Kudumu la Wapiga K… Read More
Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) Bw.Geofrey Tengeneza (katikati) akizungumza na waandishi wa habari leo Desemba 21,2022 Jijini Dar es Salaam, ku… Read More
Naibu Afisa Uhamiaji Mkoa wa Shinyanga, Mrakibu wa Uhamiaji Lydia Angumbwike (kulia) akielezea huduma zinazotolewa na Jeshi la Uhamiaji wakati wa uzinduzi wa Wiki ya Sheria Mkoa wa Shinyanga… Read More
Na Felix Mwagara, MOHA.NAIBU Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Ramadhani Kailima amewataka watumishi wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) kufanya kazi kwa kushirikiana… Read More
Na Asha Bani, Mtanzania Digital
WAZIRI wa Katiba na Sheria, Dk. Damas Ndumbaro amesema ikifika Januari mwakani kila mtoto awe amesajiliwa na kupata cheti cha kuzaliwa.
Dk.Ndumbaro aliya… Read More
Na: Hadija Maloya-NIDA.Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) imewaasa wananchi kuacha kutumia njia na watu wasio rasmi kisheria maarufu kama vishoka wakati wa mchakato wa kuomba Vitambuli… Read More
Maandalizi ya Sensa ya watu na makazi ya mwaka 2022UtanguliziSerikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imepanga kufanya Sensa ya Watu na Makazi ifikapo mwezi Agosti 2022. Wizara ya F… Read More
Na. Jovina Bujulu-MAELEZOHivi karibuni Rais John Pombe Magufuli amezindua Bunge la 12 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kufuatia ushindi wa kishindo alioupata katika uchaguzi wa mwezi Oktob… Read More
Na Samirah YusuphMamlaka ya vitambulisho vya Taifa NIDA imefunga mitambo miwili ya kisasa kwa ajiri ya kukamilisha uzalishaji wa vitambulisho uliokwama.Akizungumza na waandishi wa haba… Read More
Na Jonas Kamaleki, DodomaSerikali imetoa shilingi bilioni 49.5 kuimarisha Shirika la Posta na hadi sasa vituo viwili vinavyotoa huduma za pamoja vimeshaanzishwa Dar es Salaam na Dodoma… Read More
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali imeshatoa sh. bilioni 15 kwa Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) ili kununua mahindi kutoka kwa wakulima.“Uzalishaji wa mahindi ni… Read More
Na Munir Shemweta, ILEMELAWaziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi amesema Wizara ya Ardhi kuanzia tarehe 1 Julai 2021 itaanza zoezi la uhakiki la kitaifa kuwatambua na k… Read More
Serikali imesema itatumia hekima kuwasaidia wananchi walioshindwa kusajili laini za simu kwa sababu ya kukosa kitambulisho cha Taifa na namba licha ya kuanza mchakato wa kupata kitambu… Read More
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), James Kilaba amesema uzimaji wa laini za simu ambazo hazijasajiliwa kwa alama za vidole unafanyika kwa AwamuAmesema zoezi hilo lili… Read More
Jeshi la Wananchi (JWTZ) limetangaza kuwachukulia hatua viongozi wa ndani na nje ya jeshi hilo na vijana waliohusika katika vitendo vya udanganyifu katika uandikishaji wa majina ya kujiunga… Read More
Mkuu wa TCRA Kanda ya Ziwa,Mhandisi Francis Mihayo akizungumza katika mkutano wa wadau wa mawasiliano kanda ya ziwa leo - Picha na Kadama Malunde - Malunde1 blogMkuu wa Mamlaka ya Mawasilian… Read More