Mkuu wa Wilaya ya Geita, Kanali Boniphace Maghembe (wa pili kushoto) akipokea nyaraka za vifaa mbalimbali vya tiba kutoka kwa Ofisa Mwandamizi Mahusiano ya Jamii kutoka GGML, Musa Shunash… Read More
Na Seif Takaza, Iramba
Zaidi ya Sh bilioni 4 zimetumika kwa ajili ya miradi mbalimbali ya kijamii wilayani Iramba mkoani Singida katika ujio wa Mwenge wa Uhuru mwaka huu unaotarajiwa kukimbi… Read More
Makao makuu ya halmashauri ya Chalinze
NA. ELISANTE KINDULU, CHALINZE
HALMASHAURI ya Chalinze Mkoa wa Pwani, imepokea jumla ya shilingi 2,222,000,000 kutoka Serikali kuu kwa ajili ya… Read More
Licha ya matangazo mengi katika vyombo vya habari kuwa Kifua Kikuu (TB) ni ugonjwa unaotibika kwa urahisi na watu wasione aibu kwenda Hospitalini, kwani hali hiyo kwangu ilikuwa ni tofau… Read More
Lori likiwa kazini katika mgodi wa North Mara
***
Zoezi la kulipa fidia kwa wananchi katika eneo la Nyeheto wilayani Tarime, Mara linaendelea vizuri na wengi wanaripotiwa kujitokeza kupok… Read More
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi akiongoza Matembezi na mbio fupi za Uzazi Ni Maisha Wogging 2023 yalioanzia viwanja vya Butros Kiembe Samaki n… Read More
Kaimu Mkuu wa Takukuru Mkoa wa Shinyanga Mwamba Masanja.
Na Marco Maduhu, SHINYANGA
TAASISI ya kuzuia na kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Shinyanga, imembana Mkandarasi kutoka K… Read More
Msimamizi wa kituo cha Afya cha Bikra Maria Mama wa Tumaini (BMMT) na Mkurugenzi Mtendaji wa asasi ya ATFGM, Sister Jacqueline Gbanga akielezea namna wanavyoshirikiana na PEPFAR kuk… Read More
Na Mariam Kagenda - Kagera
Ikiwa ni mwendelezo wa ukaguzi wa miradi ya maendeleo Wilaya ya Karagwe mkoa wa Kagera Mkuu wa Mkoa wa Kagera Mhe. Fatma Mwassa amepongeza ukamilishaji majengo ya… Read More
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda,akizungumza na waandishi wa habari leo Julai 27,2023 jijini Dar es Salaam kuhusu ufadhili kwa wahitimu wa Kidato cha Sita wapatao… Read More
Baadhi ya picha kutoka Manispaa ya Ubungo wakati TMDA ikiwa kwenye utaratibu wake wa kutoa elimu kwa umma juu ya matumizi sahihi ya dawa na vifaa tiba, madhara yanayoweza kutokea na namna ya… Read More
Wananchi wafurahia huduma bora za matibabu kituo cha Afya Bugarama.
Na Marco Maduhu, KAHAMA
WANANCHI wa Bugarama Halmashauri ya Msalala wilayani Kahama mkoani Shinyanga, wamepongeza hudu… Read More
Naibu Waziri wa Afya nchini Dkt.Godwin Mollel akizungumza leo June 6,2023 Bungeni Dodoma.
NA WAF - BUNGENI DODOMA
NAIBU Waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollel amebainisha kuwa, asil… Read More
WADAU wa Maendeleo ya Jinsia wameiomba Serikali kuhusu utekelezaji wa sera ya Bajeti ufanyike kuanzia ngazi ya Serikali za mtaa kabla haijaenda halmashauri na wananchi wajiridhishe vile vi… Read More
Na Mwandishi Wetu
Mbunge wa Nanyamba (CCM), Abdallah Chikota amehoji serikali kuhusu fedha za ujenzi wa vituo vya afya katika Kata za Mnongodi na Nyundo.
Akiuliza swali bunge leo… Read More
Na Faraja Masinde, Mtanzania Digital
Serikali imesema imani, mila, na desturi za kitamaduni, ukosefu wa usawa wa kijinsia bado ni miongoni mwa sababu zinazorudisha nyuma udhibiti wa magonjwa… Read More
Mashua ya matibabu inayotoa huduma Ziwa Victoria
Na Mwandishi wetu
TANGU Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML), ambayo ni kampuni tanzu ya AngloGold Ashanti ilipoanzishwa mwaka 20… Read More
Meneja wa OSHA Kanda ya Kusini Bw. Wilbert Ngowi akitoa elimu ya masuala ya usalama na afya katika uchimbaji na uchukuzi wa makaa ya mawe kwa wafanyakazi na viongozi wa kampuni za BECCO na… Read More
***********************Hospitali ya Taifa Muhimbili- Mloganzila imepokea msaada wa vifaa tiba vyenye thamani ya TZS 382,650,980 Mil kutoka serikali ya Korea Kusini kupitia Taasisi ya Korea F… Read More
Kiongozi wa Madakatri Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa-Tumbi Dkt. Amani Malima .Na. Catherine Sungura-TaboraKambi maalumu ya Madaktari Bingwa kutoka Hospitali za Rufaa za Mikoa… Read More
Mganga Mfawidhi wa Kituo cha Afya Makorora mkoani Tanga, Dkt.Angelina Meshack akizungumza na baadhi ya watumishi wa MSD (hawapo picha) mara baada ya kutembelea kituo cha afya cha Makorora ki… Read More
Benki ya CRDB imekabidhi kituo cha mawasiliano katika Taasisi ya Saratani ya Ocean Road ikiwa ni matokeo ya fedha zilizokusanywa katika mbio za CRDB Bank Marathon 2021. Kituo hicho cha kisas… Read More
Kampuni ya Habari ya Africa Media inayomilika vituo vya utangazaji Channel 10 na Magic FM, ambacho ni kituo cha matangazo ya redio, leo Januari 30, 2023 wamekabidhiwa Vifaa vya Michezo na Me… Read More
Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoani Shinyanga Janeth Magomi akionyesh Bunduki aina ya Gobore ambayo wameikamata katika msako.Na Marco Maduhu, SHINYANGAJESHI la Polisi mkoani Shinyanga, limekam… Read More
********************Taasisi ya Doris Mollel (Mollel Foundation) leo imezindua rasmi Maadhimisho ya Mtoto Njiti Duniani ambayo yanatarajiwa kufikia kilele chake Novemba 20, 2022 ambayo yatafa… Read More
WAZIRI wa Afya Ummy Mwalimu na Mbunge wa Jimbo la Tanga (CCM) Ummy Mwalimu akizungumza wakati wa uzinduzi wa mpango wa kutoa huduma za upasuaji wa kibingwa bila malipo kwa w… Read More
Na Lucas Raphael,Tabora -TDMAMamlaka ya dawa na vifaa tiba kanda ya magharibi imefanikiwa kumkamata mfanyabiashara Zakayo Bagomwa aneyemiliki Duka la Dawa muhumu ilinaloitwa Mali… Read More
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof.Adolf Mkenda..Baadhi ya wadau wa Elimu waliohudhuria kwenye kikao maalum cha Menejimenti ya Wizara ya elimu nchini Jijini Dodoma .Na D… Read More
Ramadhan Hassan, Dodoma
Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) katika kipindi cha 2021/22 imeteketeza tani 35,547 za dawa zisizofaa kwa matumizi ya binadamu.
Kiasi hicho kama kingepelekwa soko… Read More
Mkurugenzi wa Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP,) Lilian Liundi akizungumza wakati wa mjadala wa bajeti ya fedha ya Taifa kwa mwaka 2022/2023 na kueleza kuwa jitihada zaidi zinahitajika katik… Read More
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) Dkt. Adam Fimbo**Mkurugenzi Mkuu wa TMDA Dkt. Adam Fimbo, amesema kwamba watumiaji wa dawa za kuongeza nguvu za kiume wapo kwenye hata… Read More