Na Dotto Kwilasa, DODOMA
MAKAMU Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM)Prof.Lughano Kusiluka ameishauri Jamii kuona umuhimu wa kuhifadhi maarifa asili kwa kuweka kumbukumbu za mila na… Read More
Mkuu wa wilaya ya Mbulu Kheri James ameongoza msafara wa kukagua mradi wa kuvuna ukungu na maji uliopo mkoani Manyara wilaya ya Mbulu.
Ziara hiyo ilifanyika Leo Agost 23,2023 ikiongozwa… Read More
Na John I. Bera
Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Kanali Laban Thomas ameipongeza Wizara ya Maliasili na Utalii kupitia Taasisi zake za Uhifadhi zilizopo ndani ya mikoa ya kusini pa… Read More
UONGO #1: Serikali imekodisha Bandari ya Dar es Salaam kwa DP World kwa miaka 100
Ukweli: Hakuna mkataba wowote wa ukodishaji wa Bandari ya Dar es Salaam ambao umesainiwa hadi… Read More
Baadhi ya waandishi wa habari wakimsikiliza Msemaji wà Serikali kwebye ukumbi wa habari Maelezo jijini Dodoma.
Msemaji wà Serikali Gerson Msigwa akizungumza na waandishi wa h… Read More
Katibu Mkuu Wizara ya Kazi na Hifadhi ya Jamii Nchini Kenya, Mhe. Geofrey Kaituko akizungumza na baadhi ya viongozi wa OSHA na watumishi wa Wizara yake alioambatana (hawapo pichani) walipo… Read More
Jisajili Meridianbet leo upate mizunguko 50 ya bure kucheza moja ya mchezo uupendao ya kasino ya mtandaoni kuna Aviator, Poker, Titan Roulette na mingine mingi. Kujisajili bonyeza hapa… Read More
Serikali imetangaza mpaka sasa ugonjwa ulioripotiwa Machi 16, 2023 kutoka Wilayani Bukoba mkoani Kagera umejulikana kuwa ni virusi vya 'Marburg'' na hadi wakati huu tayari umekwishaua watu w… Read More
Meridianbet wanataka kukutajirisha wikiendi hii kupitia michezo mbalimbali ambayo itakwenda kupigwa katika ligi tofauti tofauti barani ulaya, Unachotakiwa kufanya ni kuweka ubashiri wako na… Read More
Wiki imeisha kwa michezo mbalimbali Carabao, FA, Coppa Italia lakini sasa wikiendi hii ligi zinaendelea kuanzia leo Ijumaa, EPL na Ligi nyingi zitatimua vumbi kwenye viwanja tofauti. Meridia… Read More
Michuano ya Kombe la dunia inaendelea kule Qatar ambapo leo Alhamis kutakuwa na mechi 4 za kumalizia mzunguko wa kwanza wa makundi ni kundi G na H, Uswizi vs Cameroon, Uruguay vs Jamhuri ya… Read More
Ukame wa mabao wa Son Heung-min msimu huu umeongezeka hadi mechi nane kwa Tottenham, na hivyo kuzidisha wasiwasi mjini Seoul kuhusu ubora wa nyota huyo wa Korea Kusini miezi michache t… Read More
Diamond Platnumz akitumbuiza Jijini Berlin UjerumaniKAMA ulikuwa unadhani ni stori stori tu za mtandaoni, habari ikufikie Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ amethibitisha kununua nd… Read More
Wadau mbalimbali wa Westerwelle Startup Haus Arusha wakijadili jambo wiki iliyopita kwenye uzinduzi wa kituo hicho Jijini Arusha, (picha na Queen Lema).Na Queen Lema, Arusha.Westerwelle Foun… Read More
WAKATI Serikali ikiendelea na uzinduzi wa Filamu ya Royal Tour,aliyoshiriki Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Samia Suluhu Hassan,kutangaza utalii nchini,aliyekuwa Mbunge wa Kahama mwa… Read More
Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa (UNGA) limepiga kura kwa wingi ya kuunga mkono azimio la kuitaka Urusi kusimamisha mara moja mashambulizi nchini Ukraine na kuyaondoa majeshi yake yote nchini… Read More
*Kazi kubwa imefanyika
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
Wakati Tanzania inapata uhuru mwaka 1961 huduma ya maji haikuwa nzuri na kwa kipindi cha ukoloni ilitolewa kwa matakwa ya serikali… Read More
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akipokea Mkuki na Ngao kutoka kwa Chifu Fundi Kira Makamu Mwenyekiti wa Umoja wa Machifu Tanzania mara baada ya kusimikwa ku… Read More
Meridianbet, Nyumba Yenye Odds Bora na Bonasi Kubwa!
Baada ya kumaliza mishemishe za vilabu na odds kubwa sana, sasa Meridianbet inakupa ushindi wa kibingwa sana katika mechi za kimataifa… Read More
SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imetia saini Hati za Maelewano (MOU) zinazohusu Mpango Mkuu wa Upembuzi yakinifu juu ya ujenzi wa Bandari Shirikishi ya Uvuvi katika eneo la Mpi… Read More