Na Carlos Claudio, Dodoma.
Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) na Wakala wa Barabara Zanzibar (ZANROADS) wameweka mpangokazi wa kipindi cha mwaka mmoja, ambao utekelezaji wake utaanz… Read More
Katibu Tawala Wilaya ya Shinyanga, Ndugu. Said Kitinga akizungumza wakati akifungua warsha kwa Madiwani, Maafisa Tarafa na wadau wa maji wilaya ya Shinyanga iliyoandaliwa na Mamlaka ya M… Read More
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Wakili Julius Mtatiro amezindua hotel iliyopo kata ya Tinde wilayani Shinyanga ijulikanayo kama AZAT HOTEL.
Hafla hiyo ya uzinduzi imefanyika leo Juni 1, 2024… Read More
Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Julius Mtatiro akizungumza kwenye Semina ya Kijamii ya Uhuru wa kujieleza.
Na Marco Maduhu,SHINYANGA
KLABU ya Waandishi wa Habari Mkoa wa Shinyanga (SPC), kw… Read More
Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amewatoa hofu Wananchi wa mkoa wa Dar es salaam wanaotumia usafiri wa vivuko eneo la Kigamboni -Magogoni juu ya taharuki kuhusu huduma inayotolewa na W… Read More
Na Mathius Canal, Morogoro
Imeelezwa kuwa mradi wa ujenzi wa barabara kwa kiwango cha lami kutoka Ifakara hadi Mbingu yenye urefu wa kilomita 62.5 utatumia Bilioni 97.178
Serikali kupiti… Read More
MBUNGE wa Singida Mashariki, Miraji Mtaturu ameishauri Wizara ya Mifugo na Uvuvi kukaa na wizara za kisekta ili kusaidia wakulima na wafugaji kuondokana na migogoro.
Amesema migogoro mi… Read More
Mwenyekiti wa Kamati ya Kimkakati ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Brigedia Jenerali Hassan Mabena,akizungumza wakati wa ziara yake ya kukagua mradi wa kilimo cha… Read More
Na Nora Damian, Mtanzania Digital
Wanafunzi wa Shule ya Sekondari St. Mathew iliyopo Wilaya ya Mkuranga Mkoa wa Pwani wamehamasishwa kujifunza lugha ya Kichina ili kupata fursa zaidi za kuj… Read More
Wajumbe wa Kamati ya Hesabu za Serikali za Mitaa, wa Bunge la Uganda, wakiwa kwenye mazungumzo na Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dodoma, Prof. Lughano Kusiluka, ofisini kwake Dodoma.
… Read More
KIONGOZI wa Mbio za Mwenge wa Uhuru mwaka 2024 Godfrey Mnzava katikati akifungua koki ya maji baada ya kuzindua mradi wa maji wa kuboresha hali ya upatikanaji wa huduma ya maji Kata ya… Read More
Na Nora Damian, Mtanzania Digital
Zaidi ya watu 50 wamefariki dunia kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha ambazo zimesababisha mafuriko katika maeneo mbalimbali nchini.
Vifo 28 zimeripotiw… Read More
Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Zanzibar, Mhe. Tabia Mwita akizungumza na waandishi wa habari kuhusu maandalizi ya uzinduzi wa mbio za Mwenge wa Uhuru leo Aprili 1, 2… Read More
NA MWANDISHI WETU
MWANZA. Rais Mhe, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amepongezwa kwa juhudi kubwa anazozionesha za kuruhusu kuendelea ujenzi wa miradi mikubwa ya kimkakati, ikiwemo inayotekelezwa… Read More
Na Kadama Malunde – Malunde 1 blog
Kamati ya Kudumu ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya Hesabu za Serikali (PAC) imefanya ziara ya kukagua miradi ya umeme Mkoani Shinyang… Read More
Na Christina Cosmas, Morogoro
MBUNGE wa jimbo la Kilosa mkoani Morogoro Prof. Paramagamba Kabudi amewahimiza wazazi katika kijiji cha Kitange mbili kata ya Mtumbatu kuweka utaratibu wa… Read More
Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa akiwa na wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu wakiwa wameshika bango linaloonesha maendeleo ya mradi wa ujenzi wa Daraja la JP Magufuli (… Read More
Kamati ya kudumu ya bunge ya miundombinu imetembelea ujenzi wa mkongo wa taifa wa mawasiliano uliopo manispaa ya Shinyanga Mkoani Shinyanga.
Ziara hiyo ya ukaguzi imefanyika leo Machi… Read More
Na Esther Mnyika, Mtanzania Digital
Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam,Albert Chalamila amemtaka mkandarasi wa mradi wa barabara ya Kimara , Bonyokwa na Kinyerezi kuhakikisha anajenga … Read More
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Msalala, Khamis Katimba akifunga mafunzo hayo.
Afisa Elimu Halmashauri ya Msalala, Seleko Ntobi
Mmoja wa wakufunzi waliondesha mafunzo hayo akongea… Read More
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu), Jenista Mhagama (Mb) Peramiho amesema Serikali imefanya maboresho makubwa katika sekta ya e… Read More
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA), Jenerali (Mstaafu) Venance Mabeyo amepongeza kazi kubwa inayofanywa na Jesh… Read More
*Aipongeza REA kusambaza umeme vijijini kwa ufanisi
*DG REA aeleza Shilingi Bilioni 73.9 zimewekezwa kutekeleza Miradi mitano ya umeme vijijini mkoani Arusha
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Dig… Read More
Na Nora Damian, Mtanzania Digital
Mbunge wa Segerea, Bonnah Kamoli, ameiomba Serikali kumpelekea fedha mkandarasi ili aongeze kasi ya ujenzi katika Shule ya Sekondari Bonyokwa.
Bonnah ametoa… Read More
*Ni ule unaosimamiwa na Mwauwasa
Na Clara Matimo, Mwanza
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti imetembelea na kukagua ujenzi wa mradi wa Maji uliojengwa Kata ya Butimba Wi… Read More
Na Mwandishi Wetu, Kigoma
Kamishna wa Uhifadhi wa Mamlaka ya Usimamizi Wanyamapori Tanzania (TAWA), Mabula Nyanda, amempongeza Rais Dk. Samia Suluhu Hassan kwa kuiwezesha taasisi hiyo kukami… Read More
Na Mwandishi Wetu, Zanzibar
Mkutano wa pili wa Tume ya Pamoja ya Ushirikiano (JPC) kati ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Angola unaoendelea Zanzibar, unajadili mambo mbalimbali ikiwamo… Read More
MBUNGE wa Singida Mashariki Miraji Mtaturu amewaongoza wajumbe wa mfuko wa jimbo kukagua miradi iliyotengewa na kutekelezwa kwa fedha za mfuko huo kiasi cha Sh 67,498,970 kwa mwaka 2022/… Read More
NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM
Katika kilele cha Warsha ya Asasi za kiraia,iliyokuwa ikiendeshwa na Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP)Wametoa mapendekezo yao katika dira ya Taifa ya 20… Read More
Ofisa Mtendaji Mkuu wa CMSA CPA. Nicodemus Mkama akizungumza na Waandishi wa Habari (hawapo pichani) kuhusu kupokea ujumbe kutoka Mamlaka ya Masoko ya Mitaji ya nchini Burundi (CMA –… Read More
Na Esther Mnyika, Mtanzania Digital
Mkonge ni moja kati ya zao la biashara Tanzania,asili ya zao hili ni Mexico na baadae likasambaa katika nchi za India na Tanzania mwaka 1892.
Inael… Read More
Naibu Waziri wa Ujenzi, Eng. Godfrey Kasekenya amesema hadi sasa urejeshaji wa miundombinu ya barabara na makalvati iliyokuwa imeharibiwa na maporomoko ya matope na mawe yaliyotokea Disemb… Read More
Kaimu Meneja wa Ofisi ya EWURA Kanda ya Magharibi, Mha. Walter Geofrey ( katikati) akifafanua jambo kwa Mkurugenzi Mkuu wa EWURA, Dkt James Andilile( kushoto) wakati wa ziara ya kiongozi… Read More
Na Mwandishi Wetu, Ifakara-Morogoro
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kwa kushirikiana na Umoja wa Ulaya (EU) imewasha Kituo cha Kupoza na… Read More
Na Kadama Malunde – Malunde 1 blog
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imekabidhi Tanki la kuhifadhia maji lenye ujazo wa lita 10,000 katika Hospitali ya Wilaya ya Dkt. Jakaya Mrisho Ki… Read More
Na. Gideon Gregory, Dodoma.
Kiongozi wa Uinjilisti Kanisa la Moravian Nkuhungu Jijini Dodoma Mch. Boaz Mwazyunga ametoa wito kwa kanisa hilo jimbo la Kaskazini kuwa na mpango wa kuandaa w… Read More
Na. Mwandishi wetu - Dodoma
Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Patrobas Katambi amezindua harambee ya kuchangia ujenzi wa Shule ya Sekon… Read More
Mratibu wa Taasisi ya Uringo Dkt. Ave - Maria Semakafu akitoa mada kuhusu Madai ya Mabadiliko kwenye Katiba na Mtandao wa Wanawake na Katiba leo Jumatano Novemba 8,2023 wakati wa Wars… Read More
Na: Zainab Ally – Mikumi
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii Kamisha Benedict Wakulyamba amesema Miradi ya Ujenzi wa Viwanja vya ndege vinavyoendelea kujengwa katika Hif… Read More