Makamu Mwenyekiti wa Taasisi ya Vyombo vya Habari Kusini mwa Afrika Tawi la Tanzania (MISA TAN) , Wakili James Marenga (kulia) akikabidhi tuzo ya kufanikisha kulinda Uhuru wa Vy… Read More
Na Winfrida Mtoi, Mtanzania Digital
Mwanariadha Felix Simbu atakuwa miongoni mwa washiriki wa mbio za maadhimisho ya Siku ya Afrika ‘African Day Marathon’, akiungana na mabalozi… Read More
Na Nora Damian, Mtanzania Digital
Askofu Mkuu wa Kanisa la Tanzania Assemblies of God (TAG), Dk. Barnabas Mtokambali amesema miaka 85 ya kanisa hilo imekuwa na mafanikio makubwa kwa kuwaunga… Read More
KIONGOZI wa Mbio za Mwenge wa Uhuru mwaka 2024 Godfrey Mnzava katikati akifungua koki ya maji baada ya kuzindua mradi wa maji wa kuboresha hali ya upatikanaji wa huduma ya maji Kata ya… Read More
#Viongozi wa CHADEMA wampongeza Rais kwa kufungua ukurasa mpya nchini kupitia falsafa yake ya R4
# Atajwa kuwa ni "Mama wa Demokrasia" wa Tanzania
Januari 24, 2024
Na Waandishi Wetu -Dar… Read More
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
Kiongozi Mkuu wa Kanisa Katoliki Duniani, Baba Mtakatifu Francis amemwalika Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, Vatican Feb… Read More
*Ubalozi wa Kenya nchi Tanzania waadhimisha miaka 60 ya Uhuru
Na Faraja Masinde, Mtanzania Digital
Serikali imebainisha kuwa nchi ya Kenya ndiye mshirika mkubwa wa kibiashara na kwamba inata… Read More
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Jacob Mkunda akikata utepe kuashiria Uzinduzi wa Mikondo Miwili ya Uzalishaji Maji wa Kiwanda cha Suma JKT Bottling Jijini Dar es Salaam.
Mkuu wa Majeshi… Read More
MADA ZA AGRF 2023 ZILIZOJADILIWA KATIKA KUMBI MBALIMBALI ZA JULIUS NYERERE, DAR ES SALAAM, TAREHE 7 SEPTEMBA 2023
Imeandaliwa na Nyabanga Daudi Taraba
Mpenzi msomaji kwa siku… Read More
Mkurugenzi Mtendaji wa FCS, Bw. Francis Kiwanga (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari katika hafla ya uzinduzi wa mradi wa “Uraia Wetu” kwaajili ya kukuza uwezo wa AZAKi… Read More
*Matapeli kutuma ujumbe mfupi waibukia Viwanja vya ndege
Na Chalila Kibuda,
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Kanda ya Mashariki imetoa wito kwa wadau wa posta wenye leseni kuhakikis… Read More
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali imeunda madawati 1,393 ya ulinzi na usalama wa mtoto katika shule za msingi na sekondari ili … Read More
Picha ya Pamoja, Dkt. Soumya Manhunath Chavan na watumishi wa Bodi ya Utalii Tanzania (TTB).Mkuu wa Kituo cha Kutolea Taarifa kwa Watalii cha Bodi ya Utalii kanda ya Pwani, Alistidia Karaze… Read More
Meya wa Jiji la Dar es salaam, Mh.Omary Kumbilamoto akiwaongoza watumishi wa Uhuru Fm pamoja na Shirikisho la vyama vya magonjwa yasioambukiza Tanzania-TANCDA kwenye Jogging katika uzinduzi… Read More
Aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzani Awamu ya Tatu Mhe. Benjamin William Mkapa enzi za uhai wakeNa Said Mwishehe, Michuzi TV.WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa ametangaza ra… Read More
Mwakilishi Mwandamizi wa Shirika la Maendeleo la Kimataifa la Japan (JICA,) Watanabe Hideki (wa tatu kushoto,) akipata maelezo ya mtambo unaopooza na kusambaza umeme katika Hospitali ya Taif… Read More
Jamii imeaswa kulipa umuhimu na kipaumbele suala la elimu kama nyenzo muhimu katika kuleta mabadiliko mbalimbali katika jamii sambamba na kuwa na fikra mbadala za kuwezesha jamii kubad… Read More
Na Christina Gauluhanga, Mtanzania Digital
HALMASHAURI ya Jiji la Dar es Salaam imesema limejipanga kuhakikisha inaongeza kiwango cha ufaulu kwa wanafunzi ikiwa ni pamoja na kuwafikia wale w… Read More
Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Brain Incorperated Ltd, Jesse Kwayu akitoa mada kuhusu sheria mbalimbali za vyombo vya habari kwenye semina kwa Wahariri wa Habari iliyoandaliwa M… Read More
Rais na Mwenyekiti wa Bodi ya Taasisi ya Ukaguzi wa ndani Tanzania (IIA), CPA Zelia Njeza akizungumza.Rais na Mwenyekiti wa Bodi ya Taasisi ya Ukaguzi wa ndani Tanzania (IIA), CPA Zelia Njez… Read More
Na Mwandishi wetu, DarNchi ya Finland imeipongeza Tanzania kwa hatua mpya za kimaendeleo katika nyanja za ushirikishwaji wa sekta binafsi, uhuru wa vyombo vya habari,utawala bora na haki za… Read More
***********Na John Mapepele.Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo. Mhe, Innocent l. Bashungwa ametoa wito kwa vyama vya kitaifa vya michezo, kutumia mashindano ya Taifa CUP 2021 kuchagua vip… Read More
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan ameeleza kushangazwa na kauli za Spika wa Bunge Job Ndugai kusimama hadharani na kukosoa mkopo wa Shilingi Trilioni 1.3 kutok… Read More
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela (kushoto) na Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Denge la Tanzania (ATCL), Mhandisi Ladislaus Matindi wakionyesha ishara ya uzinduzi wa… Read More
Mkurugenzi Mtendaji wa Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP), Lilian Liundi Na Kadama Malunde - Malunde 1 blogMkurugenzi Mtendaji wa Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP), Lilian Liundi amepong… Read More