Na, Deborah Munisi
"Kama yupo mtu anayeipinga CCM ni wivu wake binafsi kwasababu katika sekta ya maendeleo inatekeleza kwa kasi, msiyumbishwe na kelele za wapinzani, kufuatia maendeleo ha… Read More
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Komredi Daniel Godfrey Chongolo ameeleza hatua mbalimbali zinazochukuliwa na Serikali, kutekeleza Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya 2020 – 2025, kw… Read More
Na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imeendesha Programu ya utoaji elimu kwa wadau wa utangazaji Kanda ya Ziwa kuhusu Kanuni Mpya za Mawasiliano ya… Read More
Nahodha wa timu ya Kamba ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Robert Keboya akipokea kombe la mahindi wa Kamba kutoka kwa Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kicherebaada ya kukamilik… Read More
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
Mbunge wa Segerea, Bonnah Kamoli, amezindua mkakati wa uelimishaji na uhamasishaji wa sensa ya watu na makazi inayotarajiwa kufanyika Agosti 23, mwaka hu… Read More
Rais Magufuli amesema Serikali imejipanga kuhakikisha uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba, 2020 unakuwa wa amani, uhuru na haki.Amesema utakapofika uchaguzi huo, nchi na taasisi mbalimb… Read More
Katibu UVCCM Taifa,Kenani Kihongosi na viongozi wengine na vijana wa UVCCM wakitembelea miradi Tarime****Na Dinna Maningo, TarimeKATIBU wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa… Read More
Na Allan Vicent, Ngara
KATIKA kutekeleza Ilani ya Uchaguzi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Halmashauri ya Wilaya ya Ngara mkoani Kagera imewezesha vijana wake 33 mikopo nafuu ya usafiri wa bo… Read More
Rais Samia Suluhu Hassan amewataka wanawake kujipanga kuhakikisha wanaweka Rais mwanamke katika Uchaguzi Mkuu ujao.Vilevile, amehoji kilichoandikwa na moja ya gazeti nchi kwamba hana nia ya… Read More
Bamako, Mali
Nchi ya Mali imeondolewa kwa muda uanachama wa Muungano wa Afrika kufuatia mapinduzi ya kijeshi ya wiki iliyopita, yakiwa ya awamu ya pili katika kipindi cha miezi tisa.
Mapind… Read More
Mbunge Aisha Jumwa aliwatumbuiza wananchi wakati wa kampeni za UDA eneo la Matungu baada ya kunengua kiuno akicheza wimbo maarufu wa Diamond, Waah Mbunge wa Malindi Aisha Jumwa aliwanen… Read More
Serikali ya Somalia imesema kuwa imemuita nyumbani balozi wake nchini Kenya Mohamud Ahmed Nur Tarzan, na kuishutumu nchi hiyo kwa kuingilia siasa za nchi yake.Somalia pia imemtaka balo… Read More