Wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) wakiwa katika ziara Shule ya Sekondari Ufundi Mtwara
Ikiwa ni Moja ya taasisi inayotumia nishati ya gesi a… Read More
Na Mwandishi wetu,Dodoma
Serikali imetoa jumla ya Shilingi Bilioni 136.2 kupitia Wakala ya Barabara (TANROADS) na Wakala ya Barabara za Mijini na Vijijini (TARURA), kwa ajili ya kure… Read More
Na Carlos Claudio, Dodoma.
Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) na Wakala wa Barabara Zanzibar (ZANROADS) wameweka mpangokazi wa kipindi cha mwaka mmoja, ambao utekelezaji wake utaanz… Read More
Na Chedaiwe Msuya, WF, Kigoma
Mkuu wa Wilaya ya Kasulu, mkoani Kigoma, Kanal Anthony Mwakisu amewataka Wananchi kukopa kwenye taasisi za fedha zilizosajiliwa na Serikali na kutambulika… Read More
NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM
SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limeadhimisha Siku ya Chakula Salama Duniani kwa kuendelea kusisitiza ulaji wa chakula salama kwa wananchi ili kuondo… Read More
Makamu Mwenyekiti wa Taasisi ya Vyombo vya Habari Kusini mwa Afrika Tawi la Tanzania (MISA TAN) , Wakili James Marenga (kulia) akikabidhi tuzo ya kufanikisha kulinda Uhuru wa Vy… Read More
Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Kikwete kwa nafasi yake ya Mwenyekiti wa Bodi ya Taasisi ya Ubia wa Elimu Duniani (GPE) ameshiriki Mkutano wa Mwaka 2024 wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB 2024… Read More
Na Winfrida Mtoi, Mtanzania Digital
BENKI ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB), imezidi kuongeza wigo wa mikopo kwa wakulima baada ya kuingia makubaliano ya miaka mitano na benki ya Exim y… Read More
Kaimu Mkurugenzi wa Uzingatiaji na Ufuatiliaji Sheria NEMC, Hamad Taimuru akizungumza na waandishi wa habari leo Mei 16, 2024 katika Ofisi za NEMC Jijini Dar es Salaam wakati akitoa taarifa… Read More
Na Barnabas Lugwisha
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungani wa Tanzania amezindua awamu ya pili ya kampeni ya ‘Mtu ni afya’ juzi Mjini Kibaha Mkoa wa Pwani ikiwa ni mara ya 50 tan… Read More
Na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Kampuni ya TIGO Tanzania imekutana na wadau wake Mkoa wa Shinyanga katika Jukwaa la Wafanyabiashara na Wajasiriamali lenye lengo la kutoa fursa kwa w… Read More
*Wasema hoja zake hazina mshiko
Na Ashura Kazinja, Morogoro
Katibu wa Siasa, Uenazi na Mafunzo Mkoa wa Morogoro, Zangina Shanang amejibu hoja tano zilizotolewa na Makamu Mwenyekiti wa Chadem… Read More
Wanafunzi wa elimu ya juu wameipongeza Serikali ya awamu ya sita kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kwa mabadiliko makubwa waliyofanya kwenye sekta ya elimu huku wakitoa wito kw… Read More
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Mhe. Prof. Adolf Mkenda akiwasilisha Bungeni Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Fedha kwa Mwaka 2024/2025.
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia… Read More
Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa, ameeleza kuwa timu ya watalaamu wa Wakala ya Barabara (TANROADS) na Makandarasi itatumia saa 72 (siku 3) kukamilisha zoezi la kurejesha miundombinu ya… Read More
Mwenyekiti wa Kamati ya Kimkakati ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Brigedia Jenerali Hassan Mabena,akizungumza wakati wa ziara yake ya kukagua mradi wa kilimo cha… Read More
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
Msajili wa Hazina, Nehemiah Mchechu, amekutana na kuzungumza na Menejimenti ya Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) iliyoongozwa na Mkurug… Read More
Na Mwandihi Wetu, Mtanzania Digital
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, anayeshughulikia masuala ya Sera, Bunge na Uratibu, Jenista Mhagama ametoa shime kwa Baraza la Uwekezaji wa Wananchi… Read More
Na Mwandishi Wetu, Dodoma
MAMLAKA ya Usimamizi wa Ununuzi wa Umma (PPRA) imesaini mkataba wa makubaliano na Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini wenye thamani ya Dola za Ki… Read More
Taasisi ya Internet Society Tanzania imewahimiza wananchi kutumia fursa ya huduma ya Internet kujiletea maendeleo, badala ya kufuatilia mambo yasiyo ya msingi na kupoteza muda na gharama z… Read More
Mkuu wa TAKUKURU Mkoa wa Shinyanga Donasian Kessy akizungumza na waandishi wa habari
Na Kadama Malunde – Malunde 1 blog
Taasisi ya kuzuia na Kupambana na Rushwa Mkoa wa Shinyanga (… Read More
Wajumbe wa Kamati ya Hesabu za Serikali za Mitaa, wa Bunge la Uganda, wakiwa kwenye mazungumzo na Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dodoma, Prof. Lughano Kusiluka, ofisini kwake Dodoma.
… Read More
Mkurugenzi wa Kampuni ya gesi ya oryx Araman Benoite na Mkurugenzi wa Taasisi ya Doris Mollel , Doris Mollel wakimkabidhi mtungi wa kupikia wa gesi ya Orxy mmoja wa wauguzi katika hospital… Read More
Meneja wa Barrick nchini, Melkiory Ngido (kulia) akimkabidhi mwanzilishi wa Maktaba ya Jamii ya Martha Onesmo iliyopo Mwanga mkoani Kilimanjaro kwa mwazilishi wake,Jennifer Dickson (katik… Read More
KIONGOZI wa Mbio za Mwenge wa Uhuru mwaka 2024 Godfrey Mnzava katikati akifungua koki ya maji baada ya kuzindua mradi wa maji wa kuboresha hali ya upatikanaji wa huduma ya maji Kata ya… Read More
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Kassim Majaliwa ameipongeza Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) kwa namna inavyodhibiti biashara ya dawa… Read More
Jina langu Abduli kutokea Kigoma, Tanzania, mimi ni yatima, sasa nakumbuka nikiwa na miaka kama 20 hivi, alitokea mama mmoja mzungu ambaye alikuwa na taasisi ya kusaidia watoto na… Read More
Na Malima Lubasha, Serengeti
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Serengeti, Mrobanda Japan na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya hiyo, Ayubu Makuruma wameguswa na mp… Read More
Na Dotto Kwilasa,DODOMA
WAZIRI Wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Dkt. Stergomena Tax , amesema wizara yake kupitia JWTZ imechangia katika kulinda mipaka ya nchi pa… Read More
Na Ramadhan Hassan, Dodoma
OFISI ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira imesema inaendelea kutafuta ufumbuzi wa kutatua kero tatu za Muungano zilizobaki huku hadi sasa kero 22 zikiwa tayari… Read More
Na Esther Mnyika, Mtanzania Digital
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Kilimo na Mifugo wamekagua na kuridhishwa na Maendeleo ya ujenzi wa jengo la Utawala la Taasisi ya Utafiti… Read More
Na Esther Mnyika, Mtanzania Digital
Waziri wa Viwanda na Biashara, Dk. Ashatu Kijaji amewataka washiriki wa kongamano la kilele cha maadhimisho ya Haki ya Mlaji Duniani kujadiliana kwa kina… Read More
Wagombea wa vyama mbalimbali wakiangalia fomu za uteuzi wa wagombea walioteuliwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi kugombea nafasi ya udiwani Kata ya Kimbiji iliyopo Halmashauri ya Manispaa ya K… Read More
Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhandisi Anthony Sanga akimueleza jambo Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi Maliasili na Utalii Mhe, Timotheo Mzava w… Read More
Na Rose Ngunangwa, Bagamoyo
Wadau wa Sanaa ya Ubunifu na Utamaduni wametakiwa kutumia mitandao ya kijamii kwa kunadi bidhaa zao ili kuwafikia wateja wengi zaidi.
Wito huo umetolewa leo m… Read More
Na Esther Mnyika, Mtanzania Digital
Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (Pura) kwa kushirikiana na Chuo cha Bahari Dar es Salaam(DMI) katika kuhakikisha inamsaidia mwananchi kupata… Read More
Waziri wa Mambo ya Ndani Mhandisi Hamad Yusuf Masauni (wa pili kushoto) akiwa na Mkurugenzi wa Oryx Gas Tanzania Benoit Araman (wa kwanza kushoto) wakimkabidhi mtungi wa kupikia wa gesi y… Read More
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
AngloGold Ashanti ambayo ni kampuni mama ya Geita Gold Mining Limited imemuahidi Rais Samia Suluhu Hassan kuendelea kuwa sehemu ya mabadiliko chanya ya u… Read More
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
Machi 8, kila mwaka Wanawake kote duniani huungana kuadhimisha SIKU YA WANAWAKE DUNIANI ambapo Kaulimbiu ya maadhimisho ya Siku ya Wanawake 2024 inasema;… Read More
Na Mwandishi Wetu,Tanga
UBALOZI wa Uswisi kupitia ufadhili walioufanya kwa taasisi isiyo ya kierikali ya AMEND kwa ajili ya kutoa elimu ya usalama barabarani ikiwemo elimu ya huduma ya… Read More
Makamu wa Rais Dkt Phillip Mpango akizindua mradi wa kuongeza upatikanaji wa maji kwa wastani wa lita 60 katika Jiji la Tanga na wilaya jirani za Muheza na Mkinga baada ya lita 45 za awali… Read More
Na Faraja Masinde, aliyekuwa Bagamoyo
Takwimu zinaonyesha kuwa biashara haramu ya viumbe pori inashika nafasi ya nne katika kundi la biashara haramu duniani ikitangaliwa na ile ya dawa za k… Read More
*Aipongeza REA kusambaza umeme vijijini kwa ufanisi
*DG REA aeleza Shilingi Bilioni 73.9 zimewekezwa kutekeleza Miradi mitano ya umeme vijijini mkoani Arusha
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Dig… Read More
Na Mwandishi wetu, Mtanzania Digital
Mkuu wa Wilaya ya Serengeti Dk. Vincent Mashinji amesema Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) imeendelea kuunga mkono jitihada za Baba wa… Read More
Na Esther Mnyika,Mtanzania Digital
MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), imesema elimu kuhusu usalama wa mtandao inahitajika ili kudhibiti uhalifu wa mtandao.
Hayo yamebainishwa leo Februa… Read More
Mrajis wa Vyama vya Ushirika na Mtendaji Mkuu wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Dkt. Benson Ndiege akifungua kikao cha Baraza la Wafanyakazi wa Tume, Jijini Dodoma, (kushoto) Mkurug… Read More
Mwenyekiti wa taasisi ya Mtetezi wa Mama mkoa Kagera ndg Kauthari Chamani (kushoto) akikabidhi mchango wa kufanikisha safari ya Zanzibar kwa mratibu mkuu wa safari hiyo Enock Bujuli.
N… Read More
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
Kufuatia mualiko wa Kiongozi Mkuu wa Kanisa Katoloki duniani na nchi ya Vatican, Papa Francis, Rais Dk. Samia Suluhu Hassan atafanya ziara ya Kitaifa ya… Read More
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
MDAU maarufu wa soka hapa nchini, Kanali mstaafu Iddi Kipingu, amefanikiwa kuibua vipaji lukuki vya soka Muheza, Tanga, kupitia progamu inayoendele… Read More