Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme akizungumza na Machinga mkoa wa Shinyanga kupitia Shirikisho la Umoja wa Machinga Mkoa wa Shinyanga na Taifa.
Na Kadama Malunde… Read More
Na Mwandishi Wetu
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Dodoma, Mariam Ditopile amewashukia wanasiasa wanaotaka kuwagawa Watanzania wanapojadili suala la makubaliano ya Ushirikiano kati ya… Read More
Na John Mapepele.
Serikali imesema hakuna mwananchi aliyenyanyaswa kijinsia, wala mifugo ya mwananchi yeyote (Ng’ombe 250) kuporwa au taarifa ya mtu yeyote kutaka kujinyonga pia haku… Read More
Hadi kufikia umri wangu wa miaka 47, nimekuja kuamini hakuna kitu kibaya kama migogoro ya ardhi, watu wengi wamepoteza mali zao kama mazao na mifugo kisa migogoro ya ardhi.Jina langu ni Huss… Read More
WIKI mbili zilizopita kulikuwa na habari za tanzia kuhusu mwanamke mmoja aliyefariki dunia katika ajali ya barabara alipokuwa akimkimbiza mumewe, Sonnie Bassey baada ya kumfumania na mwanamk… Read More
Billionea Elon Musk (Anayetaka kuachana na mpango wa kuinunua twitter)Elon Musk anataka kuacha azma yake ya kununua mtandao wa kijamii wa Twitter kwa dola 44 (£36bn), akidai kuwa kumek… Read More
Mwili wa mtu aliyedhaniwa kufariki na kupelekwa Mochwari ukirudishwa baada ya kugundulika kuwa yupo hai **RAIA mmoja katika Jiji la Shanghai nchini China amepelekwa mochwari kwa bahati… Read More
Katikati ni mkurugenzi wa mtandao wa wafugaji Tanzania( TPCF), Joseph Parsambei akitoa tamko la mashirika zaidi ya 20 juu ya mgogoro wa ardhi wilayani Ngorongoro.Na Rose Jackson,ARUSHAZaidi… Read More
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan**Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan ameitaka Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari kush… Read More
Na Mwandishi WetuWAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. George Simbachawene amemaliza mgogoro wa Uraia wa Mshambuliaji wa Simba SC, Kibu Denis ambaye awali aliwahi kucheza Klabu ya Mbeya Cit… Read More
Wanaume wawili kutoka Uganda wameamua kubadilishana wake zao ili kumaliza sakata ya uzinzi kwa amani.Hii ni baada ya mmoja wao Ali Mudde, mkazi wa kijiji cha Musoma katika kisiwa cha Jagozi… Read More
Na Upendo Mosha,Arusha
Serikali imesema itayafungua mashamba 16 ya mboga mboga na maua yaliotelekezwa na wawekezaji katika mkoa wa Arusha kutokana kushindwa kulipa mikopo waliyokopa katika t… Read More
Maalim Seif Sharif Hamad alizaliwa Oktoba 22, 1943 na alipitia Shule za Uondwe na Shule ya Wavulana ya Wete Kisiwani Pemba kati ya 1950 – 1957.Sekondari alisomea katika shule ya King G… Read More
Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) imezizuia kampuni tatu za ndege kutoka Kenya, ambazo ni Air Kenya Express, Fly 540 na Safarilink Aviation kufanya safari zake nchini kutokana na mv… Read More