Na Samwel Mwanga, Simiyu
MKUU Wa Mkoa wa Simiyu, Dk. Yahaya Nawanda amesema kuwa bingwa wa Michuano ya soka ya Simiyu Super Cup 2023 anatarajia kubeba kitita cha Sh milioni Nne.
Akizindua ma… Read More
Sub-Heading: Jisajili Meridianbet leo upate mizunguko 50 ya bure kucheza moja ya mchezo uupendao ya kasino ya mtandaoni kuna Aviator, Poker, Titan Roulette na mingine mingi. Kujisajili bonye… Read More
NA EMMANUEL MBATILO
KLABU ya YAnga imefanikiwa kuondoka na ushindi mnono wa mabao 2-0 ugenini dhidi ya timu ya Rivers United ya nchini Nigeria katika mchezo wa mkondo wa kwanza robo… Read More
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ameamua kuongeza fedha za motisha kwa timu za Simba na Yanga kutoka shilingi Milioni 5 hadi Shilingi Milioni 10 enda… Read More
Jisajili Meridianbet leo upate mizunguko 50 ya bure kucheza moja ya mchezo uupendao ya kasino ya mtandaoni kuna Aviator, Poker, Titan Roulette na mingine mingi. Kujisajili bonyeza hapa… Read More
**********************
NA EMMANUEL MBATILO
KLABU ya Yanga imefanikiwa kuondoka na ushindi kwenye mechi yake ya mwisho hatua ya makundi Kombe la Shirikisho barani Afrika baada ya kufaniki… Read More
The wait its over! Mbivu na mbichi kujulikana ni timu gani itafuzu hatua ya robo fainali ya UCL, ni mechi za marudiano zikikwa zimepewa Odds kubwa Meridianbet, wakali wa kasino ya mtandaoni… Read More
Na Alex SonnaSIMBA na RSB Berkane zimetinga kibabe hatua ya Robo Fainali ya Michuano ya Kombe la Shirikisho barani Afrika baada ya kupata ushindi katika mechi zao za mwisho Kundi D.Simba aki… Read More
Kila baada ya miaka minne wapenda soka kote duniani huwa wanaungana na kushuhudia utamu wa burudani ya macho na moyo nikimaanisha hisia zote huwa uwanjani. Ndio Namaanisha Kombe la Dunia, ni… Read More
Klabu ya Bayern Munich imeendeleza mpambano wao wa hivi majuzi dhidi ya wababe wenzao wa Ulaya Barcelona kwa ushindi wa 2-0 katika mechi ya Kundi C ya Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa… Read More
TIMU za Simba, Yanga na Azam FC zimefuzu Robo Fainali ya Ligi Kuu ya Vijana chini ya umri wa miaka 20 baada ya kumaliza katika nafasi mbili za mwanzo katika makundi yao.Pamoja na Simba walio… Read More
Viungo matata wa Klabu ya Manchester United, Paul Pogba (Kulia) na Bruno Fernandes wakipongezaka kwa kazi nzuri.Klabu ya Wolves imetinga hatua ya robo fainali ya mashindano ya Ulaya kwa mara… Read More
Hapana shaka mashabiki wa Simba hawataweza kuusahau usiku wa tarehe 16 Machi 2019. Hawatasahu namna kiungo fundi Mnyarwanda Haruna Niyonzima alivyoupisha mpira uliopigwa na Nahodha wao John… Read More
Tandaza Jamvi Lako Na Meridianbet, Ufaidi Odds Bora!
Robo fainali ya mashindano ya AFCON kuendelea wikiendi hii. Mataifa 8 kuipambania nafasi ya kutwaa ubingwa wa Afrika. Kule Ufaransa, Coup… Read More
Chelsea imetinga hatua ya robo fainali ya Carabao Cup baada ya kuinyuka Everton 2-1.Dakika ya 26, beki Antonio Rudiger aliifungia Chelsea bao lake la kwanza tangu ajiunge na timu hiyo huku W… Read More
LEJENDARI wa soka la Brazil, Ronaldo Nazario, amesema PSG haitatwaa taji la Ligi ya Mabingwa Ulaya msimu huu, licha ya kumsajili Lionel Messi.
Ronaldo, ambaye kwa sasa ni Rais wa klabu ya Re… Read More
Nahodha John Raphael Bocco amefunga mabao mawili Simba SC ikiibuka na ushindi wa 3-0 dhidi ya Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini katika mchezo wa marudiano wa Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Af… Read More
Kuelekea kwenye mchezo huo, kocha wa Taifa Stars, Mrundi Etienne Ndayiragije amesema “maandalizi yameenda vizuri, wachezaji wapo sawa. Kuhusu korona wamechekiwa wote wako sawa, tuko vi… Read More
BAO pekee la mshambuliaji wa kimataifa wa Burundi, Laudit Mavugo limeipeleka Simba SC Nusu Fainali ya Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), au Azam Sports Federation Cup (ASFC) baada y… Read More
NA MOHAMED KASSARA-DAR ES SALAAM
HATIMAYE Klabu ya Simba imefikia uamuzi wa kuachana na aliyekuwa Kocha Mkuu wa kikosi hicho, Patrick Aussems aliyedumu kwenye kikosi hicho kwa kipindi cha m… Read More
Muwekezaji wa simba SC Mohamed Dewij amefunguka na kuonyesha jinsi alivyoumizwa na matokeo mabaya ya timu ya Simba dhidi ya wapinzani wao kutoka Msumbiji UD Songo katika michuano ya kl… Read More