NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM
SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) Kanda ya Mashariki limeteketeza tani nane ya bidhaa za vipodozi vyenye viambata sumu zenye thamani ya shilingi Milioni… Read More
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Dodoma, Mariam Ditopile amekabidhi Pikipiki Nane kwenye Kata zote nane za Halmashauri ya Mji Kondoa Mkoani Dodoma zenye thamani ya Shilingi Milioni 21 kwa ajili… Read More
Meneja wa Benki ya CRDB Kanda ya Magharibi Said Pamui (kulia) akimkabidhi Waziri wa Kilimo Mhe. Hussein Bashe ufunguo wa Pikipiki ishara ya kukabidhi pikipiki nane (8) zenye thaman… Read More
Na Nyemo Malecela, Kagera
ATUHUMIWA sita kutoka kisiwa cha Bumbire kijiji cha Iroba, mwalo wa Mahaiga wamekamatwa wakijishughulisha na uvuvi haramu katika doria iliyoendeshwa na Mtendaji wa… Read More
Serikali imebainisha maeneo muhimu ya kipaumbele kwa mwaka 2021/22 ikiwamo kupunguza kodi ya mapato ya ajira (PAYE) kutoka asilimia tisa hadi asilimia nane.Pia kuanzia sasa… Read More
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka vijana wanaohitimu masomo nchini wasikae majumbani na badala yake watumie elimu yao kubuni namna ya kujiajiri.“Lazima tubadilike ili wahitimu wasi… Read More
Wakulima wa zao la muhogo nchini wameelekezwa kulima kwa tija ili waweze kutosheleza masoko ya ndani na nje ya nchi, huku wakihimizwa kufuata maelekezo ya wataalamu kwenye matumizi sahihi ya… Read More
*Ni baada ya Serikali kuzindua mfumo wa uuzaji wa mazao kupitia TMXCHANGAMOTO ya ucheleweshwaji wa malipo kwa wakulima baada ya kuuza mazao yao inatarajiwa kuwa historia baada ya Serikali ku… Read More
VIDONDA vya tumbo ni mojawapo ya ishara za mwili kuanza kuishiwa maji, ni uharibifu wa kuta za ndani ya tumbo. Kwa maneno mengine, ni majeraha ndani ya tumbo.Kwanini vidonda vya tumbo ni ish… Read More