Na Daniel Limbe, JamhuriMedia, Chato
Msanii wa nyimbo za asili ya Kisukuma, Dawa Juma,mkazi wa kijiji cha Makurugusi wilayani Chato mkoani Geita,amehukumiwa kifungo cha miaka sita jela au… Read More
Na Walter Mguluchuma,Katavi.Mwendesha Boda boda Idrisa Said Bayaga(32) wa Kituo cha waendesha pikipiki cha Nyerere Mtaa wa Kawajense Manispaa ya Mpanda Mkoa wa Katavi amefikishwa mahakamani… Read More
Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa (UNGA) limepiga kura kwa wingi ya kuunga mkono azimio la kuitaka Urusi kusimamisha mara moja mashambulizi nchini Ukraine na kuyaondoa majeshi yake yote nchini… Read More
Na Zephania Kapaya, Shinyanga
JESHI la Polisi wilayani Kahama mkoani Shinyanga limelalamikiwa na Mfanyabiashara anayefahamika kwa jina la Rehema Mwagao kwa kitendo cha kumuachia muharifu ki… Read More
HATIMAYE Waziri Mkuu wa Haiti, Ariel Henry, amemwandikia barua Mwendesha Mashitaka Mkuu nchini humo, Bed-Ford Claude, akiwambia anatakiwa kukiachia kiti hicho.
Hatua hiyo imekuja baada… Read More
Ngariba nguli Mary Onyango Omega (50) maarufu Mkungu Mugesi mkazi wa kijiji cha Kitarungu Kata ya Nyansurura amehukumiwa na Mahakama ya Wilaya ya Serengeti mkoani Mara miaka 5 jela kwa kosa… Read More
Aliyekuwa Mkuu wa Kitengo Cha Uhasibu wa Chama cha Wafanyakazi wa Serikali za Mitaa (TALGWU), Sospeter Omollo, amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam, akikabiliwa… Read More
Mzee wa miaka 60 Mkazi wa shehia ya Finya Wilaya ya Wete amefikishwa katika Mahakama ya Mkoa wa Kaskazini Pemba akituhumiwa kumbaka mtoto wa kike mwenye umri wa miaka mitano.Mzee huyo… Read More
Iran imetoa waranti wa kukamatwa Rais wa Marekani Donald Trump na wanajeshi 35 wa Marekani, ikiwa ni pamoja na maafisa kutoka taifa hilo kwa kuhusika na kifo cha Jenerali Qassem Soleimani.Ir… Read More
Na John Walter-ManyaraOfisi ya TAKUKURU Kiteto, imemfikisha mahakamani katibu wa baraza la ardhi kata ya Sunya, Hamisi Hemedi Saidi kwa kosa la kuomba na kupokea rushwa kinyume na kifungu ch… Read More
Adriunus Landnam (34), mkaazi wa Mkunazini Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja,amefikishwa mahakamani kwa kosa la kuingilia msafara wa Rais wa Zanzibar.Adriunus ambae ni Mfaransa wa Swedzan House… Read More
KIKONGWE Mabula Lubango (74), amehukumiwa kifungo cha maisha jela baada ya kutiwa hatiani na Mahakama ya Wilaya ya Urambo mkoani Tabora kwa kosa la kukutwa na dawa za kulevya aina ya bangi.A… Read More
Hatimaye Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam imemwachia huru Mbunge wa Sumve (CCM), Richard Ndassa (56) baada ya upande wa Jamhuri kuomba kumuondolea kesi… Read More