Nanyi Mtamweka Hata Siku Ya Kumi Na Nne Ya Mwezi Ule Ule(Kutoka 12:4)Cloud Of Witnesses · 15:52 28 May 2023Bwana yesu apewe sifa, Naomba kufahamu, Kwanini Wana wa Israeli walimuhifadhi mwana-kondoo siku nne kabla ya kuchinjwa katika sikukuu ya pasaka.Je Kuna ufunuo gani tunaweza kupata katika Ten… Read More