Mwanamke mmoja raia wa Congo ambaye ameolewa na waume wawili, amewaduwaza wengi ikizingatiwa kwamba ndoa ya waume wengi ni nadra barani Afrika.
Francine Jisele anaishi na waume wawili, mum… Read More
Ndoa au mahusiano sio jambo ambalo tunapaswa kuingia kwa kasi, ndoa nyingi zina shida leo kwa sababu mtindo wa maisha wa watu wawili wanaohusika hauendani.
Kuchumbiana ni utaratibu ambao… Read More
Waumini wa Kanisa la Kianglikana la All Saints Kyamwee kaunti ya Machakos nchini Kenya wamefanyiwa harusi maalum iliyojumuisha wanandoa saba.
Kulingana na NTV, wanandoa hao walisema waliku… Read More
Katika siku ya kumbukizi ya kuzaliwa ya mrembo #paulakajala mpenzi wake ambaye ni msanii #marioo aligusia kuwa paula ni ...
Instagram
Mon, 07/17/2023 - 11:21 Read More
Nyani mdogo na mrembo ambaye anaishi maisha ya kifahari ambayo wengi wangependelea, ndiye anayegonga vichwa vya habari mtandaoni.
Maarufu kama Mojo, mnyama huyo kutoka Marekani anajivunia… Read More
Tuliishi na mke wangu katika jiji la Nairobi ambapo nilikuwa nafanya biashara, ndoa yetu haikukumbwa na misukosuko kwani tuliaminiana sana na mapenzi yetu alikuwa moto kweli kweli, hakuna a… Read More
Aneth mwanamke mwenye rangi ya kuvutia , mpole mwenye urefu wa wastani na mwenye mazungumzo machache mbele ya kundi la wanaume, kiufupi mwanamke mwenye stara zake anayejuwa nafasi yake kweny… Read More
Polisi katika kaunti ya Bungoma nchini Kenya wanachunguza kisa ambapo mwanamke anadaiwa kumng'ata baba mkwe wake sehemu za siri wakati wa ugomvi.Katika kisa hicho cha kustaajabisha amb… Read More
2022 Sexiest Ankara Styles-Ankara is still at the peak of popularity. These bright and versatile fashion pieces allow each lady to find the suitable styles and reveal her beauty from every s… Read More
Jina langu ni Majaliwa kutokea Mombasa nchini Kenya, ni Baba wa familia, mimi na mke wangu katika miaka sita ya ndoa yetu tumejaliwa kupata watoto wawili, mmoja wa kiume na mwingine wa kike… Read More
Joseph Kagiso Ndlovu akiwa na mke wakeJoseph Kagiso Ndlovu akifanikiwa kukutana na mke wake.**Mzee mmoja mwenye umri wa miaka 57, aliyetambulika kwa jina la Joseph Kagiso Ndlovu, alikimbia m… Read More
Mwanaume aliyejifanya mwanamke nchini Zambia ili kuajiriwa kama mjakazi 'House Girl' amekamatwa kwa kujaribu kumdhulumu kimapenzi mvulana wa miaka 19.Christopher Mukutindwa, 29, ambaye anato… Read More
Anasifika kwa kumwagia maji marafiki zake pale wanapoadhimisha siku zao za kuzaliwa ‘ Birthday’..Kama una birthday usiombe ukutane naye... Si mwingine ni Mwandishi wa habari maar… Read More
JESHI la Polisi Mkoa wa Mwanza linamshikilia mkazi wa Buhongwa jijini humo, Rose Joshua (27) kwa tuhuma ya wizi wa mtoto wa kiume.Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Ramadhan Ng’anzi ame… Read More
Majina kamili naitwa Maish kutoka Mtopanga Tanzania nilikozaliwa yapata miaka ishirini na minane iliyopita. Nina Stori flani.Mwaka jana nilikutana na mrembo flani na nikampenda kisha t… Read More
Tuliishi na mke wangu katika jiji la Nairobi ambapo nilikuwa mwanabiashara jijini. Mara nyongi niliacha mke wangu pale nyumbani kwakua sikupenda akienda kazini kwani alikua ni mrembo ajabu n… Read More
Kisura mmoja aliyeolewa miezi mitatu iliyopita katika boma moja eneo la Iriani, Tharaka nchini Kenya amejikuta matatani baada ya kupewa talaka alipokataa kufanyiwa tambiko na mganga dhidi ya… Read More
Wakizungumzia michezo na wanariadha mashuhuri, watu wengi hutaja sifa zao kama nguvu na uvumilivu, utendaji wa mwili na mafanikio, ushindi na kushindwa, medali na tunzo. Lakini katika mich… Read More
Makamu wa Rais wa Miss East Africa Beauty Pageant Joyli Mutesi (katikati) akizungumza na Waandishi wa Habari (hawamo pichani) wakati wa mkutano wao na wanahabari kutangaza rasmi kufanyika kw… Read More
Kampuni ya simu TECNO imezindua rasmi promosheni ya SUPA FRIDAY jana katika duka la TECNO Smart Hub lililopo Kariakoo. Uzinduzi huo uliudhuriwa na wageni waalikwa mbalimbali kutoka kwe… Read More
Maafisa wa polisi katika kaunti ya Nyandarua nchini Kenya wanachunguza hali iliyopelekea kifo cha mzee mmoja mwenye miaka 58, ambaye ameaga dunia akifanya mapenzi. Kulingana na ri… Read More