Serikali inakusudia kujenga Meli mpya ya Mizigo, Barabara ya Lami na Reli ili kuwezesha Bandari ya Karema iliyopo Wilaya ya Tanganyika Mkoani Katavi, iliyokamilika Ujenzi wake kwa Asilimia… Read More
Mkuu wa mkoa wa Morogoro Mhe. ADAM KIGHOMA MALIMA amewataka wafanyakazi wa mamlaka ya usimamizi wa bandari Tanzania-TPA kutumia michezo ya bandari 2023 kuimarisha afya zao na kuongeza tija… Read More
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Komredi Daniel Godfrey Chongolo ameeleza hatua mbalimbali zinazochukuliwa na Serikali, kutekeleza Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya 2020 – 2025, kw… Read More
Balozi wa Korea ya Kusini Kim Yong Jung akiwa na Mjumbe wa Bodi ya Chuo cha Bahari Dar es Salaam (DMI) Capt. Adrew Matilya akishuhudia utiaji Saini wa Makubaliano ya Mafunzo kati ya chuo… Read More
Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) limefanikiwa kutoa elimu kwa umma ikiwa ni moja ya ya Taasisi za Kiserikali zinazoshiriki maonesho yanayoendelea katika Kongamano la Wik… Read More
You want to make memories, you want more than a regular safari in Africa, well, what you need is a five-star experience set in the exotic natural beauty of Arusha, Tanzania. That is wha… Read More
MBUNGE wa Singida Mashariki Miraji Mtaturu amewaomba watanzania kutokubali kupotoshwa na mtu yoyote kuhusu uwekezaji unaotaka kufanyika baina ya serikali ya Tanzania nay a Dubai na kusisit… Read More
Waziri wa Wizara ya Uchumi wa Buluu na Uvuvi Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Suleiman Makame (mwenye tai nyekundu) akisikiliza ufafanuzi wa shughuli mbalimbali zinazofanywa na mabaharia wa… Read More
Kaimu Mkurugenzi wa Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) Bw. Nelson Mlali akizungumza na wanahabari (hawapo pichani) kwenye ofisi za TASAC zilizopo Jijini mwanza, kuhusu maadhimis… Read More
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme akizungumza na Machinga mkoa wa Shinyanga kupitia Shirikisho la Umoja wa Machinga Mkoa wa Shinyanga na Taifa.
Na Kadama Malunde… Read More
Afisa Mfawidhi wa Shirika la TASAC Mkoani Tanga Kapten Christopher Shalua (kushoto) akitoa maelezo kwa Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Uwekezaji,Viwanda na Biashara Conrad Millinga wa… Read More
Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Patrobas Katambi akihutubia wakati wa hafla ya uzinduzi wa mradi wa Kijana Nahodha unaofadhiliwa na Shi… Read More
Ramadhan Hassan, Dodoma
Tanzania inauhaba wa wataalamu katika sekta ya bahari hali ambayo imekuwa ikiwalazimu kuwatoa nje ya Nchi.
Hayo yameelezwa Jumanne Machi 7,2023 na Mkurugenzi Mkuu wa… Read More
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi, Sekta ya Uchukuzi, Zanzibar, Ndg. Shomari Omar Shomari (katikati), akizungumza na wadau wa usafiri kwa njia ya anga na maji kutok… Read More
It’s almost Christmas. If you are looking for a unique getaway, the best hotels in Zanzibar for Christmas will give you an unforgettable holiday experience. With its stunning white-san… Read More
Mohammed Abdallah, mmoja wa madereva walioshiriki kwenye mgomo wakiilalamikia huduma mbovu za TICTS**** Tanzania yanusurika kupata aibu kubwa mbele ya Rais wa Congo* Ni kutokana na hud… Read More
Shirika la Viwango Tanzania (TBS) limetoa mafunzo kwa wafanyabiashara wanaoagiza na kuuza bidhaa mbalimbali za chakula na vipodozi jijini Mwanza ili kuwajengea uwezo kutekeleza shughuli zao… Read More
*Asema watakaobainika Serikali haitasita kuwachukulia hatua za kisheria
Na Clara Matimo, Mwanza
Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana mkoani Mwanza, Amina Makilagi, amewaonya watu watakaokwamisha zoez… Read More
Serikali imeiagiza Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) na Kampuni ya Huduma za Meli (MSCL) kuandaa miundombinu ya maegesho ya meli kwa ajili ya meli mpya ya MV MWANZA “Hapa Kazi Tu… Read More
Makani Mkuu wa Chuo cha DMI akiwa na timu kutoka DMI tayari Kwa maonyesho ya NACTVET katika viwanja vya Jamhuri jijini Dodoma.Mhe. Jumanne Kishimba, Mbunge wa Kahama Mjini atembelea banda la… Read More
Washiriki wa kongamano la biashara na uwekezaji kutoka nchi tano zinazozunguka ziwa Tanganyika na nchi za maziwa makuu wakifuatilia mwenendo wa mada zinazowasilishwa kwenye kongamano hilo. (… Read More
Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa, ameliagiza Shirika la Wakala wa Meli Tanzania (TASAC), na Mamlaka ya Usafiri wa Baharini ya Zanzibar (ZMA), kumaliza changamoto zinazowaka… Read More
Na Yohana Paul, Mwanza
SHIRIKA la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC), Ofisi ya Taifa ya Takwimu na Wizara ya Uvuvi na Mifugo wameanza utekelezaji wa zoezi la Sensa ya Vyombo Vidogo vya U… Read More
Here is a realtime information on a trending issue within our radar posted to keep you abreast about latest happenings; ; President Samia Suluhu Hassan on Monday lured more investors into th… Read More
Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo-Dar es SalaamWaziri wa Kilimo Mhe Prof. Adolf Mkenda amewasili nchini akitokea nchini Morocco ambapo pamoja na mambo mengine katika ziara yake hiyo aliitem… Read More
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amezindua Mpango wa Tatu wa Maendeleo wa Taifa wa Miaka Mitano 2021/2022–2025/2026 utakaogharimu shilingi trilioni 114.8, ambapo sekta binafsi inatarajiwa k… Read More
Na. Edward KondelaBalozi wa Falme za Nchi za Kiarabu (U.A.E) hapa nchini Mhe. Khalifa Almarzooqi Abdulrahman amesema ataandaa wajumbe kutoka U.A.E kuja hapa nchini kutembelea viwanda vya kuc… Read More