BANSAL F1, ni mbegu Bora Kwanzia hatua za Mwanzo ikiwa Kitaluni Hata ikiwa shambani, uotaji ni WA uhakika pia ni mbegu y...
Instagram
Thu, 10/12/2023 - 09:11 Read More
Asilimia kubwa ya Wahitimu wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT), wana uwezo mkubwa wa kuchanganua na kukabiliana na changamoto mbalimbali zinazokabili jamii yetu.
Hayo yamesemwa na Wazi… Read More
*Ni ya ujenzi na ukarabati wa mabwa na skimu za umwagiliaji
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema katika mwaka 2022/2023, Serikali imesaini mikataba 31 yen… Read More
Tanzania itakuwa mwenyeji wa mkutano mkubwa wa Afrika wa masuala ya chakula na kilimo utakaofanyika Septemba 5 mpaka 8 mwaka huu.Ijumaa wiki hii (Machi 17), Rais Samia Suluhu Hassan atazindu… Read More
Meneja wa Kampuni ya JJAD Kagera Farmer's Tanzania limited Aron Michael akitoa maelezo kwa mwananchi aliyefika katika Banda lake kujua kampuni hiyo inavyofanya kazi**Na Ashura Jumapili… Read More
Makamu Mkuu wa Chuo, Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela, Prof. Emmanuel Luoga akizungumza na waandishi wa habari ( hawapo pichani) leo Oktoba 20,2022 jijini D… Read More
Mkoa wa Dodoma ni miongoni mwa mikoa 17 inayozalisha pamba hapa nchini, ukiwa katika msimu wake wan ne (4) tangu zao hili litambulishwe rasmi msimu wa 2017-18.Pamoja na kuwa miongoni mwa mik… Read More
Ramadhan Hassan, Dodoma
WAKULIMA wameomba kukutana na Rais Samia Suluhu Hassan ili wamweleze changamoto mbalimbali ambazo wanakutana nazo huku wakimpongeza kwa mageuzi makubwa ambayo ameyafa… Read More
MRADI wa kuhamasisha wananchi kushiriki harakati za maendeleo unaotekelezwa na Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP) katika Kata tatu za Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro umeleta manufaa k… Read More
Mkurugenzi wa Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP,) Lilian Liundi akizungumza wakati wa mjadala wa bajeti ya fedha ya Taifa kwa mwaka 2022/2023 na kueleza kuwa jitihada zaidi zinahitajika katik… Read More
Katibu Tawala Mkoa wa Shinyanga Mhe. Zuwena Omary wakati akifungua mafunzo ya siku mbili kwa Viongozi wa Vyama vya Ushirika mkoa wa Shinyanga leo Alhamisi Aprili 28,2022 katika ukumbi wa SHI… Read More
Mkuu wa Wilaya ya Iringa Bw. Richard A. Kasesela akizungumza na Mkurugenzi wa udhibiti ubora TBS Bw. Lazaro Msasalaga (wa pili kushoto), Kaimu Mkuu wa kanda ya nyanda za juu kusini TBS Bw. A… Read More
Renatha Kipaka, Kagera
Mkoa wa Kagera umeweka mikakati mitano ya kuhakikisha kuwa inakabiliana na udumavu kwa watoto chini ya miaka mitano ambao unafikia asilimia 39.8.
Hayo yamebainishwa n… Read More
Kaimu Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi (Mifugo), Amosy Zephania akifungua rasmi kikao cha ushirikiano kati ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (SMT) na Serikali ya Mapinduzi… Read More
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema kuwa Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan imedhamiria kujenga vyuo vya Ufundi Stadi (VETA) katika kila halm… Read More